Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu mi ni chelsea
kubahatisha kivip ,au kisa Ball possession
Kila game ina plan yake aangalia shots on target Nan kpga nyng unawz ukaw una miliki mpira sana lkn hufungi
So ilkuw t game plan city acheze anvotka blues wa attack kwa kuvizia
 
Msimu ule 2013/2014 hatukua mabingwa ,

Bingwa alikua man city , na walikua wanakimbizana sana na liverpool ya suarez & sturridge..

Sema msimu wa 2009/2010 , Gerrard alitufanyia uungwana sana baada ya kumpa Drogba pasi ya goli, na Drogba akafanya kweli tukashinda 2-0..
NB: msimu ule man u walikua na makombe 18 tayari na liverpool 18, Gerrard akaona kuliko man u apate kombe la 19 ni bora atuzawadie chelsea, na sie jana tumewalipa wema wao
Asante kunikumbusha muda sahihi, nakumbuka tulishinda 2-0 dhidi ya Liverpool chini ya Villas Angila Boas na Brendan Roggers.
 
Sijasema chelsea wamebahatisha,ni mdau hapo juu ndo kasema na mimi nimemjibu umekosea kuniquote mimi ni mdau hapo juu
kubahatisha kivip ,au kisa Ball possession
Kila game ina plan yake aangalia shots on target Nan kpga nyng unawz ukaw una miliki mpira sana lkn hufungi
So ilkuw t game plan city acheze anvotka blues wa attack kwa kuvizia
 
HONGERENI SANA WANA BLUES.

Jana Lampard ameingia kimbinu zaidi. Tungecheza kumiliki ball position tungewapa advantage city.

3 points safi. Wachezaji walicheza kwa kujituma. Bado tunahitaji LB mwenye ubunifu wa kukaba na kasi ya kupanda juu kushambulia.

KANTE what a player

PULISIC what a player
tunahitaji pia goalkeeper
 
Sema jana niliona Lampard alirisk sana kuanza na Barkley huku Kova akiwa bench. Ile iliungza kasi ya ukabaji na ndio maana dakika 20 za mwanzo tulepelekewa moto sana on target si chini ya 4.

Lampard alitaka kucheza kama City wanavyo chezw kitu kilichotuweka kwenye hatari sana. Ilikua ni uzembe wao tu kwa sababu hawakuanza na striker yoyote jana.
 
Kwa upnde wangu sijaon kosa lolote
Gori alilofungwa mpira ulpigwa sehem ambayo ngumu kuufkia thou Angela's katkat zaid lbda angefny chocht

But his performance was gud two saves
Kweli kabisa unajua sisi fans ndio tunachangia sana kushusha viwango vya wachezaji wetu. Huyu Kepa kuna kipindi aliwaka sana watu wakamsifia sana ila alishuka kidogo watu wakamjia juu. Ni haki yetu kulalamika ila isiwe too much kuwafanya wawe dissappointed.

Kepa amerudi kwenye moto wake
 
Sisi ndio wababe tulimpa ubingwa Leicester city na sasa tumempa Liverpool, Liverpool mnatakiwa mtuheshimu Sana.Mwisho kabisa nimpongeze Lampard kaja na style ya kumfunga city ambayo atukutegemea wengi Kama atakuja na hiyo mbinu Don Clericuzio
#Viva Chelsea
Chelsea ni timu ya ajabu sana, tusipochukua ubingwa tunaamua nani achukue. Safi sana
 
KEPA tumsajilie kwanza mabeki wazuri then tumjudge ubora wake.
Kepa tangu akalishwe benchi kabadilika sana, kwa maoni yangu hakuna tena silly mistakes anazofanya. Lile goli na Aston Villa ilikuwa ni makosa ya defense, lile shuti la De Bruyne hakuna kipa angeweza kugusa huo mpira
 
Cha muhimu kuliko vyote huyu dogo mkataba wake uboreshwe. Kiongezwe kipengele "kuvunja mkataba wake iwe €1billion endapo kuna timu itakayomuhitaji".

Jana zile pass ndefu za dogo nilizisisimua mwili, tumemshapata Fabrigas wetu mpya.

Pulisic....Werner....Ziyech

Kovacic...Kante...Glimour

Nachokiona msimu ujao Lampard atabadilisha kidogo aina ya uchezaji, nadhani litakuwa soka la counter attack.

1. Pulisic ana kasi
2. Ziyech ana kasi
3. Werner ana kasi na ndio magoli anayopenda kufunga, kuingia kwa kasi lango la adui.

Sioni tena lile soka la kupiga pass fupi fupi mpaka kwenye 18 ya adui.

View attachment 1489358
Mimi sijui kwa nini Lampard hamuazishi huyu dogo Bill, jana katoa pasi iliyoenda shule ambayo hakuna mchezaji wa Chelsea anifikia isipokuwa ni Fabregas tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom