Numbisa tafadhali tunaomba tupostie GIF za magoli ya mchezaji wetu Timo Werner aliye kwa mkopo RB Leipzig. Kapiga mbili leo kama ishara ya kuwaaga timu hiyo aliyoitumikia kwa misimu minne.
Tafadhali Numbisa tunahitaii kuona mwajiriwa mpya amefanya nini kuwaaga waajiriwa wake wa zamani.
Numbisa itikia ombi la jamaa post magoals ya Timo Werner aliyofunga leo
Turushie basi hayo magoalKuna goal amefunga kama lile goal pulisic alikosa beki akaiokoa
Ebu itafute YouTube tuone binafsi niliona goal la 2 wakati nimestream Hilo la kwanza sijaliona.Mechi yao haina GIF mkuu
Niwekee hapa basi au niipataje maana nimecheki Youtube sijaona hiyo gameNimeangalia youtube mkuu
Cash Money Forever mbona umenirushia picha me nataka video
Cash Money Forever Hapo nikukopi link honest sijui namna ya kukopi link ila nashukuru kwa kunisceenshot hiyo video kwenye YouTube ngoja nikacheki ujue hiyo game nilistream live nikabatika kuangalia kipindi Cha pili so goal la kwanza sijaliona ila la pili nimeliona.Kutag video youtube inafanyika vipi?
LB wote eitha wako vizuri kwenye kuilinda timu au kushambulia. Mwangalie Juan Bernat, Robertson, Marcelo, Alba. Ni left backs bora duniani, na ubora wao mkubwa ni katika kushambulia yaani kuassist, kutoa crosses mbele, na kufunga.Alonso ameshine kwenye Chelsea ya kawaida. Pale Barcelona, Madrid, Bayern, Livepool Alonso hapati namba.
Kwa Chelsea ya msimu huu bado tunamuhitaji.
Ila msimu ujao tunataka LB mwenye kasi ya kukaba, kukimbia/kupandisha mashambulizi mbele na mzuri kupiga mipira ya cross kwa wakati.
Kwani nyumbu anakutana na mshindi kati yetu na Leicester?Kesho tumnyonyoe Leicester tukutane na manyumbu tuyale mbele na nyuma..
@ilikupata clip ya YouTube inayoonesha magoals ya Werner niandikaje? Naona kila nikiitafuta siioni.Sawa kukopy link na kupaste hapa inanishindaga kabisa, sijajua ni utaratibu gani wa kuufanya wa kushare link
Christensen anajitaid san unamuonea t uyo dogo anaimproveKuwa mabingwa lazima tujenge kikosi kipya ndani ya misimu 2 au 3 ijayo, pamoja na kuondoa na kuuza wachezaji wa viwango vya kawaida;-
Batshuayi
Zappacosta
Barkely
Emerson
Christensen
Zouma
Bakayoko
Drinking water
Mosses
Conte kaja msimu mmoja kachukua ubingwa at the same to ancelotti, Lampard kaongea hivyo kwa kuangalia ubora wa opponent wake lakini pia kwa lengo la kutowapa mashabiki pressure lakini pia na yeye kutopata pressure ya media lakini moyoni mwake lengo lake Ni ubingwa.Naungana la Lampard kwamba pamoja na hizo sajili tulizofanya bado kikosi hakitakuwa bora kama tunavyodhani, kitaendelea kujengwa misimu 2 au 3 ijayo.
Kuna wachezaji wa 1st eleven ya sasa, sisi tunawaona ni moto, ila mkae mkijua hao wachezaji ni moto kwenye chelsea hii mbovu, ni wachezaji wa kawaida sana.
Na madirisha yajao watauzwa hatutaamini. Sitawataja hapa ila time will tell. View attachment 1490788
Christensen mtoe hapoKuwa mabingwa lazima tujenge kikosi kipya ndani ya misimu 2 au 3 ijayo, pamoja na kuondoa na kuuza wachezaji wa viwango vya kawaida;-
Batshuayi
Zappacosta
Barkely
Emerson
Christensen
Zouma
Bakayoko
Drinking water
Mosses
Wewe akili huna yaani Leicester city akae juu ya Chelsea kweli?1. Liverpool
2. Man city
3. Leicester
4. Chelsea
.
.
.