Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea kudadek zenu laana ya kutuuzia mzoga Luiz itawatafuna, malipo ni hapahapa duniani na hao wanaokuja hao mkae mkao wa kulia kilio cha mbwa koko maana itakuwa ni mizigo ya mavi hapo darajani,haiwezekani sisi tuwape mtu anayewapa points 3 muhimu OG alafu nyie mtubambikie kinyesi katika mfuko wa rambo mkitudanganyia kuwa ni dhahabu......
Kipindi kile nasikia mlichokuwa mnataka kwa Luiz ni kwenda kuangalia medali ya UEFA au nakosea?
 
Kwa jana timu imecheza vizuri..

Kante kwenye nafasi yake halisi alicheza vizuri sana, lakini haimaanishi kua giorginho ndo hatumuhitaji tena hiyo itakua uongo.
1) mechi ya jana ni chelsea vs timu ndogo villa, hata angeaza nani obvious tungetawala mchezo, Jo kwenye big match hua anasaidia sana kubalance mchezo. Hua hatuelemewi sana. Kante pekee hawezi,kipindi kile alikua na mnyama matic ndo maana combo yako ilikua nzuri sana.

RLC , James na Tammy, jana wameonyesha bado wanasafari ndefu sana kua top players,
Cheek alikua mzito sana kwa jana, sidhani kama anafaa kucheza winga, ni bora winga angecheza mount maana ni mshapu sana.
James, alikua anapoteza mipira kizembe mno, alikua anacheza utani utadhani yuko kwenye mazoezi. Hata loose ya mpira ya mwisho kidogo itupe athari chelsea (foul ya mwisho waliyotukosa villa).

Tammy bado ana utoto ,, hakui kabisa. Jana niliona tatizo lile, hawezi kucheza mipira ya juu japo ni mrefu. Na pia ana mambo mengi sana, muda wa kutoa pasi na yeye anajiona willian au pulisic anataka apige chenga, unakuta anapoteza mipira kirahisi sana

Yote na yote. Muhimu ni kua tumepata point 3 muhimu sana.
Ni muda wa kujikaza sana ili kufikia Lengo.
James,RLC na Abraham hawana fitness level nzuri kumbuka wamekaa muda mrefu lockdown hata ukiangalia pia mane, Salah Jana dhidi ya Everton hawakuwa kwenye ubora wao kabisa Cha msingi tuwe wavumilivu camily Cash Money Forever
 
Chelsea kudadek zenu laana ya kutuuzia mzoga Luiz itawatafuna, malipo ni hapahapa duniani na hao wanaokuja hao mkae mkao wa kulia kilio cha mbwa koko maana itakuwa ni mizigo ya mavi hapo darajani,haiwezekani sisi tuwape mtu anayewapa points 3 muhimu OG alafu nyie mtubambikie kinyesi katika mfuko wa rambo mkitudanganyia kuwa ni dhahabu......
Luiz hatujawapa maana hatukuwa tayari kumuuza, ila nyie mlimpora. nido faida ya kupora
 
Tusubirie tuone management itafanya biashara ipi:-

1. Itamuuza Kante? au
2. Itamuuza Jognho?

Naona sisi hapa tumeshindwa kutoa maamuzi kwa Jicho la kimpira kila mtu anavutia kamba kwake kiushabiki wa team Kante vs team Jognho.

Time will tell

Sent using Fly in any Weather.
Nadhani tusitumie muda sana kwenye hilo kwa sababu hata comments zetu sidhani kama zinawafikia, na hata zikiwafikia sidhani kama watazichukulia maanani.
Auzwe asiuzwe ni kwa faida ya timu.
Wamnunue mwingine wasimnunue, sisi tunataka matokeo na makombe
 
Pumzisha Mason Mount. Weka Pedro, Pumzisha RLC weka Barkley
Bado ujajibu swali Nafasi za wingers zipo mbili kulia na kushoto Kuna Pulisic,Willian,Pedro huyo mount ata asipocheza winger ana nafasi ya kucheza number 10 ili Pedro aanze inabidi Kati ya Pulisic au Willian mmoja wapo ya hao wawili aanzie benchi so hapo nafasi ya Pedro iko wapi?
 
Pulisic akiwa fit bila injury hakuna wa kumuweka benchi. Ndio maana nauliza Chelsea nani anapanga kikosi?

Huyo anaepanga kikosi either anamchukiaga Pulisic au hana ujuzi wa kupanga kikosi au mbaguzi au ana mahaba ya wachezaji flani flani.

Utimamu wa mchezaji unaonekana kuanzia kwenye mazoezi. RLC, TAMMY na JAMES hawakustahili kucheza jana

Sent using Fly in any Weather.
Kwenye suala la pulisic siwezi kumlaumu kabisa Lampard kumbuka kwamba Pulisic katokea injury alafu pia kwenye mechi za kirafiki waliocheza Chelsea mbili Pulisic kiwango chake kilionesha level yake ya fitness ipo chini lakini RLC akaonesha yupo sawa ikiwemo kutupia mabao mawili Hakuna Cha chuki Wala Nini mpaka akapanga vile.Labda ulete hoja ya kwanini RlC apangwe nafasi ya Winga wakati Pedro alishaonesha level yake ya fitness ipo juu hapa ndio nitakuelewa ila sio tofauti na hapo Cash Money Forever
 
Pulisic akiwa fit bila injury hakuna wa kumuweka benchi. Ndio maana nauliza Chelsea nani anapanga kikosi?

Huyo anaepanga kikosi either anamchukiaga Pulisic au hana ujuzi wa kupanga kikosi au mbaguzi au ana mahaba ya wachezaji flani flani.

Utimamu wa mchezaji unaonekana kuanzia kwenye mazoezi. RLC, TAMMY na JAMES hawakustahili kucheza jana

Sent using Fly in any Weather.
Kwenye suala la pulisic siwezi kumlaumu kabisa Lampard kumbuka kwamba Pulisic katokea injury alafu pia kwenye mechi za kirafiki waliocheza Chelsea mbili Pulisic kiwango chake kilionesha level yake ya fitness ipo chini lakini RLC akaonesha yupo sawa ikiwemo kutupia mabao mawili Hakuna Cha chuki Wala Nini mpaka akapanga vile.Labda ulete hoja ya kwanini RlC apangwe nafasi ya Winga wakati Pedro alishaonesha level yake ya fitness ipo just hapa ndio nitakuelewa ila sio tofauti na hapo CASH mon
Kuna kale katechnolojia wanatumia kule page ya manyumbu, wanapost kavideo flani kashort kama kuonyesha magoli. Kanapatikanaje kale?

Sent using Fly in any Weather.
Cash Money Forever Mcheki huyu anajua Numbisa
 
Mmmh manyumbu tena anyway shabiki wa man u nakupa ujanja nenda playstore tafuta app inaitwa allfootball,siku ya mechi ina hizo GIF
Kuna kale katechnolojia wanatumia kule page ya manyumbu, wanapost kavideo flani kashort kama kuonyesha magoli. Kanapatikanaje kale?

Sent using Fly in any Weather.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom