Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

lembu Hawajampora Lampard alikuwa amtaki David Luiz so ikabidi Chelsea wamuuze DullyJr
Lampard alimtaka ila kwa backup, Luiz hakuridhika na wao Arsenal walipoona hiyo wakaona wao wajanja wa mjini wamuwahi "Master Passing" ambaye hakuridhika kufanywa backup ya Tomori. Lampard asingemtaka asingempigania apewe mkataba wa miaka miwili na uzee ule
 
Charlie Adam (Former Liverpool Midfielder)
"Whoever gets Kai Havertz is getting a really special player, that’s for sure."
"He can play as a false number nine, as a number ten or on the right side. His raw game is amazing.
 
Screenshot_20200622-164951~2.jpg
 
Kikosi changu cha city 4 - 3 - 3

Pulisic.............Giroud................Willan

Kovacic.............Kante..............Mount

Alonso......Rudger.....Christensen...Azip

...................Keppa........................

Mechi iliyopita na city, MARHEZ alimjeuza jeuza ERMASON kama chapati, upande wa kushoto ulikuwa uchochoro kwa city.

Ingependeza sana mechi ijayo AZIPUCUETA angecheza LB apambane na Marhez endapo JAMES angekuwa fit apambane na STERLING.

Ila kwa maboko ya James aliyotoa juzi natilia shaka utimamu wa mwili wake kuelekea mechi ya city.

Hii mechi matokeo yataamuliwa na maeneo mawili nayo ni:-

1. Safu ya ushambuliaji:- Mechi iliyopita na city tulitengeneza nafasi nyingi sana za kufunga mwisho wa siku chance zilikuwa wastage.

Kama mechi ya marudiano washambuliaji wetu wakawa clinical in finishing basi tutashinda mechi.

2. Safu ya ulinzi:- Hapa ndio majanga, Mungu aweke mkono wake. Tuna beki mbovu sana zile central backs ni picha.

Kama beki zetu zitafanikiwa kuzima mashambulizi mechi tutashinda.

KANTE huyu mtu ni muhimu sana kwenye hiyo mechi haswa eneo lake DM, mechi ya juzi na villa amecheza kwa kiwango bora sana, uwepo wake pale katikati naamini pale katikati tutapashika.

Sent using Fly in any Weather.
Cash Money Forever me nitatofautiana na wewe kidogo hiyo game inamwihitaji jorginho ili kupunguza possession ya man city na kuleta utulivu sehemu ya Kati lakini pia tunahitaji long pass za jorginho ningekuwa me Kama jorginho yupo fiti ningemchezesha no 8 au 10 sambamba na kante na Kovacic inabidi mount aanzie benchi kutokana na matakwa ya game ingawa I know Ni mchezaji mzuri

Pulisic. Giroud. Willian

Kovacic. Jorginho

Kante

Alonso. Tomori. Rudiger. Alzip


Kepa
 
Babu SARI kila mechi alikuwa anamiliki POSSESSION tukawa tunafungwa mechi nyingi au kushinda mechi kwa shida.

Antony CONTE alikuwa hamiliki POSSESSION ila tukawa tunashinda mechi kibao

Je kuna uhusiano wowote kati ya kumiliki POSSESSION NA KUSHINDA MECHI?

Sent using Fly in any Weather.
Game plan maters, hata umiliki namna gani kama huna wachezaji wa kupeleka mipira mizuri kwenye final third na pia huna washambuliaji wenye clinical finishing ni BURE. Hata MOU enzi yake hamiliki mpira lakini anashinda
 
Cash Money Forever me nitatofautiana na wewe kidogo hiyo game inamwihitaji jorginho ili kupunguza possession ya man city na kuleta utulivu sehemu ya Kati lakini pia tunahitaji long pass za jorginho ningekuwa me Kama jorginho yupo fiti ningemchezesha no 8 au 10 sambamba na kante na Kovacic inabidi mount aanzie benchi kutokana na matakwa ya game ingawa I know Ni mchezaji mzuri

Pulisic. Giroud. Willian

Kovacic. Jorginho

Kante

Alonso. Tomori. Rudiger. Alzip


Kepa
Naunga mkono hoja ila JO apigwe benchi haraka kwa sababu anachoka mapema hasa siku akicheza vizuri. Hapo aingie Barkley au Mount. Kwa sababu sub ni 5 hata Gilmour aingie badala ya Kovacic baada ya break
 
Babu SARI kila mechi alikuwa anamiliki POSSESSION tukawa tunafungwa mechi nyingi au kushinda mechi kwa shida.

Antony CONTE alikuwa hamiliki POSSESSION ila tukawa tunashinda mechi kibao

Je kuna uhusiano wowote kati ya kumiliki POSSESSION NA KUSHINDA MECHI?

Sent using Fly in any Weather.
Tatizo lako unapima mpira wa Lampard na sari me nazungumzia kuzidiwa possession na man City kwa kiasi Kikubwa game ya kwanza na city tulidominate kilichotuangusha Ni ufangaji pekee hiyo game tunamwitaji Sana jorginho ili tuwameze city Katikati na ubora wa city upo Kati.
 
Tatizo lako unapima mpira wa Lampard na sari me nazungumzia kuzidiwa possession na man City kwa kiasi Kikubwa game ya kwanza na city tulidominate kilichotuangusha Ni ufangaji pekee hiyo game tunamwitaji Sana jorginho ili tuwameze city Katikati na ubora wa city upo Kati.
Tatizo la JO wakati mnamuhitaji anaflop na kutuuza ila akibakia kwenye ubora wake anakuwa mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom