Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Kuhusu injuries nadhani wote wamepona kinachohitajika ni match fitness ukizingia hii likizo ya miezi miwili kikawaida itachukua muda kwa wachezaji kurudi physically na mentaly ambapo kwa huu muda mpaka ligi kuanza nadhani Lampard benchi lake watalifanyia kazi.The BLUES tumepoa sana, tumezubaa sana kwenye ushangiliaji wa timu yetu.
Au tunaendelea kuchangilia matukio after match kama kawaida yetu.
Mwenye taarifa za wachezaji wetu atupatie:-
1. Waliopona injuries
2. Kikosi kimejipangaje kumalizia mechi zilizobaki.
3. Tetesi za usajili n.k
Kuhusu usajili bado kuna tetesi kibao zinae ndelea hasa kwenye nafasi ya Left back akihusishwa zaifi Tagliafico. Pia kwa nafasi ya striker akihusishwa Timo Werner. Mzee baba bado tunaendelea kufatilia timu yetu tuombe wachezaji warufi vizuri tumalize ndani ya top four.
