Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Mis understandings. Habari niliyoisoma mwanzo ni FA wanalalamika kwa FIFA kwa nini tulifutiwa adhabu na kutosajili na blah blah kibaoLakini hapa FA wanaitetea Chelsea ndio maana wameishitaki FIFA kwa CAS, au mimi sijakuelewa unamaana gani
Sent using Jamii Forums mobile app