Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kepa Arrizabalaga deserved man of the match award after Chelsea’s win over Liverpool, says Olivier Giroud
 
Hiyo match ya Allianz arena kuna hatihati Gilmour na RLC wakawa viungo. Maana mpaka sasa. Kovacic na Kante ni majeruhi. Joginho atamiss hiyo game sababu ya hellow kadi 2. Hivyo viungo waliobaki watakuwa hao madogo.
Hahahaaaaa mimi ni mLondon mkuu,naisubiri kwa hamu hiyo comeback ya Allianz Arena ili tuje kuvunja kamati hapa hahahaaaaaaaaaa....




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea kwa zaidi ya miaka 10 mfululizo ndio club imefanikiwa kumaliza na kombe angalau 1 kila msimu.

SARI hakuwa na history ya kunyanyua kombe lolote katika carrier yake, Chelsea tulimpa kombe kubwa Europa.

Lampard yuko sehemu sahihi ajitahidi anyanyue FA.

Sent using Cash Money Wings
Leicester city Hawa ni ndugu zetu kabisa na sisi ndo tuliwapa kombe la EPL lazima wale kipigo
 
Mimi ninachoomba jamaa asiondoke. Kama vip tumgmfanye awe mshambuliaji kama hatafit kwenye mfumo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndio key ya mfumo wa 3-4-3 na Lampard anajua Hilo so sizani Kama Lampard atamuuza zaid ya kumuuza Emerson kingine chelsea Ina matatizo mengi kwenye maeneo mengi so hawawezi kumuuza Alonso alafu wanunue left back wawili wakati wanachangamoto kwenye kiungo mchambuliaji, central striker, central defender na mchezaji atakaeziba nafasi ya willian
 
Chelsea striker Tammy Abraham picked up the Premier League Player of the Year and Young Player of the Year trophies at the London Football Awards on Thursday night.

The striker has been in fine form this season, grabbing 15 goals in his first season as the Blues' first choice striker.

Abraham was up against stiff competition in both categories, beating Gary Cahill, Son Heung-min, Pierre-Emerick Aubameyang and teammate Jorginho to the main award.

While in the award for young stars, he came out on top of Bryan Mbeumo, Fikayo Tomori, Gabriel Martinelli and teammate Mason Mount.
 
1583482505148.png

London Football Awards: Abraham becomes first player to win both Premier League and Young Player of the Year awards in same season
 
EPL WAMESHAPOTEZA MVUTO WAMETOA HIYO TUNZO KIUENGEREZA, WAMEMPA HUYO KICHWA PANZI. BASI WAMPE NA YA MCHEZAJI BORA WA MSIMU, TAKATAKA HUYO SIJUI AMETOKA WAPI NA CHELSEA MSHAMBULIAJI WA OVYO KUWAHI KUTOKEA CHELSEA. HUJUI KUHOLD MPIRA, HUJUI KUMALIZIA MPIRA GOLINI, UKIKOSA GOLI UNASIKITIKA UPUMBAVU TUU.
 
EPL WAMESHAPOTEZA MVUTO WAMETOA HIYO TUNZO KIUENGEREZA, WAMEMPA HUYO KICHWA PANZI. BASI WAMPE NA YA MCHEZAJI BORA WA MSIMU, TAKATAKA HUYO SIJUI AMETOKA WAPI NA CHELSEA MSHAMBULIAJI WA OVYO KUWAHI KUTOKEA CHELSEA. HUJUI KUHOLD MPIRA, HUJUI KUMALIZIA MPIRA GOLINI, UKIKOSA GOLI UNASIKITIKA UPUMBAVU TUU.
Hiyo tunzo ni kwa team za london tu Mlalamikaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom