Kitu nilichogundua kuna watu wanachuki na lampard
Board yenyewe inajua matatizo ya tim kama ingekuwa tim ni nzuri halaf hatupati matokeo hapo ndio tungeanza kudoubt mbinu za kocha.
Lampard akipewa player anaowataka na akashindwa kudeliver matokeo yanayotakiwa board ya chelsea haiwezi ikamvumilia haijalishi ye ni muingereza
Kama alishindwa kupewa mkataba anaohitaji wakati bado player sembuse sasa kufuzwa
Bado naimani na frank
Hata hao makocha wakubwa akina pep,zidan wote hao wamepata mafanikio wakiwa na wachezaji wazuri
Hata umlete pep chelsea kwa wachezaj waliopo utamuona pep hajui ndio maana wakat pep anakuja epl msim wake wa 1 alihangaika sana na mpaka man city wakawa wanapigania top 4 tu na msim ulivyoisha akamaliza top 4 msim uliofuta alispend more than £200M kuanzia kwa gk mpaka kwa attackin mid
Msim uliopita mistake nyingi za tim zilikuwa hazionekan coz tim ilikuwa inashinda kwa uwezo wa hazard kunamechi tulipigwa 6 na man city etihad,4 bournmouth sinc msim uliopita hii tim ilikuwa mbovu tu sema tu uwepo wa hazard na uwezo wake ndio ulitufanya tumalize top 4
Sent using
Jamii Forums mobile app