Ramos aondoleweKabisa,
Tatizo wajuaji watakuja kukukatalia hapa ila umeongea point moja nzito sana mkuu.
Binafsi nakuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejiquote mwenyewe kukazia. Baada ya kipigo cha juzi sasa yameiva, wachezaji nane ni lazima waondoke Chelsea akiwemo Jourginho na Keppa“It was a harsh lesson,” Lampard said, “a reality for the players of the level we want to go to.”
Kwa kauli hiyo ya Lampard, wachezaji watakaobaki Chelsea kwenye starting XI msimu ujao watakuwa ni wachache sana na hata baada ya misimu miwili, hawa wachezaji wa sasa wa strating XI wote wanaweza kuwa ni sub tu
| Players | Club | Transfer sum |
|---|---|---|
| Ross Barkley | Everton | £15million |
| Emerson | AS Roma | £17.4million |
| Alvaro Morata | Real Madrid | £70million |
| Tiemoue Bakayoko | Monaco | £34million |
| Danny Drinkwater | Leicester City | £35million |
| Davide Zappacosta | Torino | £25million |
| Kepa Arrizabalaga | Athletic Bilbao | £71.4million |
Nimejiquote mwenyewe kukazia. Baada ya kipigo cha juzi sasa yameiva, wachezaji nane ni lazima waondoke Chelsea akiwemo Jourginho na Keppa
Jorginho and Kepa among players facing Chelsea axe
4 hours ago 02:13
Up to eight first-teamers could leave in Blues clearout
Jorginho, Kepa Arrizabalaga and Ross Barkley are among a host of Chelsea players who could be looking for a new club this summer, claims The Sun.
Tuesday's 3-0 Champions League defeat to Bayern Munich showed Frank Lampard just how far his side is behind Europe's elite, while the Blues have also fallen behind in the race for a top-four finish.
Up to eight first-team players could form part of Lampard's clear-out to whip his squad into shape, with Kurt Zouma, Willian and Pedro also potential casualties.
Full list ya watakaoondoka
- Kepa
- Kurt Zouma,
- Jorginho
- Ross Barkley
- Marcos Alonso
- Emerson
- .........
- .......
Waliofanya hii shopping ndio waliotumaliza
Chelsea new player signings since 2017
Players Club Transfer sum Ross Barkley Everton £15million Emerson AS Roma £17.4million Alvaro Morata Real Madrid £70million Tiemoue Bakayoko Monaco £34million Danny Drinkwater Leicester City £35million Davide Zappacosta Torino £25million Jorginho Napoli £57million Kepa Arrizabalaga Athletic Bilbao £71.4million
Wanakuelewa taratibu mkuuHIZI NDIO POINT ZA KUONGEA, UKWELI LAZIMA USEMWE TUVUKE KWENYE MKWAMO. HIZO SAJILI ZIMETUCOST SANA. ZIMETUDISHA NYUMA HATUA 10. SCOUTING TEAM, KOCHA NA UONGOZI WASAFISHE HAYO MATIKITIKITI MAJI. TUFANYE SAJILI ZENYE MACHO. CHELSEA SIO TIMU YA KUFUNGWA NA MAN U MECHI 3 MFULULIZO.
Watabisha wenzio hapaNimejiquote mwenyewe kukazia. Baada ya kipigo cha juzi sasa yameiva, wachezaji nane ni lazima waondoke Chelsea akiwemo Jourginho na Keppa
Jorginho and Kepa among players facing Chelsea axe
4 hours ago 02:13
Up to eight first-teamers could leave in Blues clearout
Jorginho, Kepa Arrizabalaga and Ross Barkley are among a host of Chelsea players who could be looking for a new club this summer, claims The Sun.
Tuesday's 3-0 Champions League defeat to Bayern Munich showed Frank Lampard just how far his side is behind Europe's elite, while the Blues have also fallen behind in the race for a top-four finish.
Up to eight first-team players could form part of Lampard's clear-out to whip his squad into shape, with Kurt Zouma, Willian and Pedro also potential casualties.
Full list ya watakaoondoka
- Kepa
- Kurt Zouma,
- Jorginho
- Ross Barkley
- Marcos Alonso
- Emerson
- .........
- .......
Ramos aondolewe
Isco
Modric
Casemiro
Valvede
Csavajal
Mendy
Kroos
Acha kuungana na ujinga+upumbavu+ushubwada,+ulimbwi+ushapukuna+ushedeku this is football kufungwa kupo ndio maana ya kushindana
We kweli unaangalia mpira... lampard anatuangusha hasa katika selection lakini ngoja tumvumilie tu...na akiendelea na ujinga wake hata top 4 tunaweza tusiipate..KWANZA LAMPARD HAJUI KUFANYA SELECTION YA WACHEZAJI KIKOSINI, LAMPARD HAJUI KUFANYA SUB, LAMPARD HANA MBINU ZA KIUFUNDI KUSHINDA MECHI. TIMU IKIWA UWANJANI INACHEZA BORA LIENDE TUU, ANAFANYA VISUB VYAKE VYA UWONGO NA KWELI.
Mi hadi leo bado nina swali kichwani kwangu...hivi yule Barkley alipangwa kufanya nini kwenye ile mechi???
Alipangwa kutokana jins alivyoperform mechi ya spursMi hadi leo bado nina swali kichwani kwangu...hivi yule Barkley alipangwa kufanya nini kwenye ile mechi???
I agree lampard sio kocha, sema anajificha kwnye sababu y kutosajili. Nilishasema hapa nikaonekana sio. Tusubir msimu ujao kila mtu ataelewa kuwa yule sio kocha.LAMPARD HATA APEWE KIKOSI HICHI WEKA MESSI NA RONALDO MBELE, BADO TUTAFAIL KUPATA MATOKEO KWA UKILAZA WAKE. LAMPARD SIO KOCHA WA TIMU KUBWA UWEZO WAKE MDOGO SANA, UWEZO WAKE NI WA CHAMPIONSHIP NAKO HUKO PIA ALIFAIL KUIPANDISHA TIMU DARAJA.
KOCHA UNAFUNGWA NA MAN U MBOVU MICHEZO MITATU MFULULIZO RUBBISH COACH. HUNA LA KUJIFUNZA?, HUNA LA KUREKEBISHA?, HUNA LA KUBORESHA?
ABROMOVICH TIMUA LAMPARD POOR CHELSEA COACH EVER