buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
- Mbinu mpya za Lampard/Alichokileta Lampard Chelsea:-
Tangu Lampard atue ameintroduce mbinu ya wachezaji wetu kupress pale ambapo hawana mpira:-
1. Hawampi opponent uhuru wa kukaa na mpira muda mrefu
2. Wanamlazimisha opponent afanye makosa anapokuwa na mpira
3. Wanamlazimisha opponent afanye maamuzi ya haraka yatakayopelekea kufanya makosa.
Inapekea wakina Mount, Tammy, Kovacic kukamata na kupokonya mpira. View attachment 1371290
Mimi ni muumini mkubwa wa hii mbinu Man U naona kukosa hii kitu ndiko kunafanya vitimu vidogo vidogo vitudharau.
Inabidi kuwafanya wajue hatuna utani, yaani Man U tukiintroduce hiyo mbinu ukichanganya na zilizopo mbona tutakuwa fire.
Jana na Brugge ilitumika kidogo ila effect ilionekana wachezaji kupoteza mipira.