Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika mechi tano za mwisho,
Chelsea yangu imeshinda moja tu,
imetoa droo 2 na
kufungwa mbili

Yajayo yanachukiza zaidi!
1582368489907.png
 
[emoji823]If spurs win on Saturday it takes Mourinho boys to 43 points- 4th position shifting Chelsea down to 5th position.
If Sheffield beats Brighton it takes them to 42points- 5th position shifting Chelsea down to 6th position
If Manchester United wins on Sunday it takes them 41points- 6th position shifting Chelsea down to 7th

A must win today[emoji123][emoji123][emoji838][emoji838]

Sent using Jamii Forums mobile app

Kila la Kheri Spurs kuelekea Jumatano ya Majivu
 
Mentality ya timu leo ni nzuri, Giroud huyu sio yule wa Sarri
 
Batsuayi bye bye
Sasa ni Abraham au Giroud hadi ligi iishe
 
Hivi kwanini VAR ya Epl hairuhusu marefa kwenda kuangalia kwenye tv uwanjani then refa afanye decision mwenyewe?

Tofauti na VAR za ligi nyingine even UEFA refa anafanya decision baada ya kwenda kuangalia kile tv, wale VAR unit kazi yao ni kumuonyesha tukio husika kwenye kile kitv uwanjani.
Refa anaruhusiwa kucheki kwenye video za pembeni sema tu ni viburi vyao na kuamini wale waliondani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom