Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mwaaaaah Marina, Mwaaaaaaah Marina.

Roho yangu imekuwa nyeupeeee.

Nilitamani sana tusajili CREATIVE ATTACKING MILDFILDER. Maombi yetu yamejibiwa.

Kizuri zaidi Ngolo Kante arudi kwenye majukumu yake ya msingi KUKATA UMEME.

Sasa Marina endelea kufanya mambo tuletee KIPA, BEKI YA KUSHOTO, STRIKER NA WINGER YA KULIA.

Marina nakupenda sana

Sent using Cash Money Wings
Kwangu sioni haja ya Chelsea kumuuza kepa Cha msingi wanatakiwa waimarishe safu ya beki kwa kukasajili beki wa Kati mmoja, beki wa kushoto mmoja mbona kepa msimu uliopita kacheza vizuri.
 
Kwangu sioni haja ya Chelsea kumuuza kepa Cha msingi wanatakiwa waimarishe safu ya beki kwa kukasajili beki wa Kati mmoja, beki wa kushoto mmoja mbona kepa msimu uliopita kacheza vizuri.

Chelsea kwa sasa haina beki wa kati anayeweza kuwapanga na kuwachezesha wenzake kama alivyokuwepo John Terry na hata Cahil alikuwa akijitahidi

Tunatakiwa tusajili beki mmoja wa kati anayeweza kukaba na atakayepanga safu ya ulinzi vema kabisa
 
Ziyech siyo kiungo mshambuliaji. Ni RIGHT WING ila anaweza pia kucheza kama Central Attacking Midfield.

Sent using Jamii Forums mobile app
uko sawa mkuu, sisi tunaosoma kwenye google mojakwa moja inamislead. Hakim mara nyingi anacheza kama RW, kwenye mechji na Chelsea alicheza kama Central Attacking Midfield. kwa hiyo usajili wa Hakim maana yake Jadon Sancho kwaheri, ndoto ya kuja Chelsea haipo tena. Labda wamsajili Sanchos halafu Hakim wamlazimishe acheze ama attacking Midfield
 
Chelsea kwa sasa haina beki wa kati anayeweza kuwapanga na kuwachezesha wenzake kama alivyokuwepo John Terry na hata Cahil alikuwa akijitahidi

Tunatakiwa tusajili beki mmoja wa kati anayeweza kukaba na atakayepanga safu ya ulinzi vema kabisa
Kwahiyo unaungana na me kuwa hakuna haja ya Chelsea kumuuza kepa?
 
uko sawa mkuu, sisi tunaosoma kwenye google mojakwa moja inamislead. Hakim mara nyingi anacheza kama RW, kwenye mechji na Chelsea alicheza kama Central Attacking Midfield. kwa hiyo usajili wa Hakim maana yake Jadon Sancho kwaheri, ndoto ya kuja Chelsea haipo tena. Labda wamsajili Sanchos halafu Hakim wamlazimishe acheze ama attacking Midfield
Nafasi ipi anakuwa hatari Kati ya right wing na attacking midfielder?
 
Kiongozi..Kila media iseme same amount na ambazo habari imepostiwa 2019 hadi some in 2020?? Swala la update sio factor hapa maana Kante kasign mda na hizo habari zime postiwa after.

Nyingine hii hapa.
Kante kaweka mkataba mpya wa miaka mitano hadi 2023 tangu 2018 ambapo analipwa Paundi 290,000 kwa wiki. Alikuwa ndio top paid player hata Zaidi ya Eden Hazard

Kante's new deal could be worth up to £290,000 per week.

Mwaka jana mwishoni Odoi kaweka mkataba mpya wa miaka mitano hadi 2024 kwa malipo ya paundi 180,000 kwa wiki

Hudson-Odoi signs new five-year £180,000-a-week Chelsea deal until 2024

Hayo mablogu ya kuuza news sio ya kuziamini, hata kama hiyo news imetoka kwenye media maarufu, taarifa za website huwa haziondolewi hata kama ziko outdated
Njia rahisi ya kujua mshahara wa mchezaji ni kutafuta latest contract yake na timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unaungana na me kuwa hakuna haja ya Chelsea kumuuza kepa?

Kabisa. Japo ana makosa madogo madogo lakini makosa yake yanaweza kufanyiwa kazi naona. Kikubwa tupate beki mzuri tuwe na safu bora ya ulinzi.

Nakumbuka Cech aliyoenda Arsenal na kukutana na ile safu mbovu alikuwa akifungwa muda mwingine magoli ya ajabu kabisa. Lakini sio kwamba alikuwa Kipa mbovu.
 
uko sawa mkuu, sisi tunaosoma kwenye google mojakwa moja inamislead. Hakim mara nyingi anacheza kama RW, kwenye mechji na Chelsea alicheza kama Central Attacking Midfield. kwa hiyo usajili wa Hakim maana yake Jadon Sancho kwaheri, ndoto ya kuja Chelsea haipo tena. Labda wamsajili Sanchos halafu Hakim wamlazimishe acheze ama attacking Midfield

Japo najua kuna uwezekano mkubwa sana Sancho kutokuja kama Hakim akija, ila pia wanaweza kusajiliwa wote kama Chelsea ikiamua.

Sancho anaweza kutokea kushoto na Hakim akatokea kulia. Na namba 10 akacheza ama Loftus-Cheek au Pulisic, hii ni katika mfumo wa 4-2-3-1. Maana naona kabisa Pedro na Willian kama wanaondoka free msimu ukiisha
 
Kiongozi..Kila media iseme same amount na ambazo habari imepostiwa 2019 hadi some in 2020?? Swala la update sio factor hapa maana Kante kasign mda na hizo habari zime postiwa after.

Nyingine hii hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakueleza hao wote wanacheza na habari za zamani wasipopata mpya, mimi nimekupa fact za mkataba wenyewe wa Kante na Odoi. Hao wengine hata kama wako elfu achana nao. Jifunze jinsi media hasa za kwenye website wanavyouza habari, wanabadilisha heading tu bila kubadiulisha core news. Hata wakati wa tetesi za usajili, ukifuatili taarifa inaweza circulate mwezi mzima ikiwa na heading tofauti na tarehe tofauti
 
Lete source mkuu..ambayo itaonyesha Kante earns as you say..na Odoi. Maana haiwezekan kila site "wasi update" ili wauze habari sijui etc etc Lete source yako tuone.. sio maneno tu.
Nimeshakueleza hao wote wanacheza na habari za zamani wasipopata mpya, mimi nimekupa fact za mkataba wenyewe wa Kante na Odoi. Hao wengine hata kama wako elfu achana nao. Jifunze jinsi media hasa za kwenye website wanavyouza habari, wanabadilisha heading tu bila kubadiulisha core news. Hata wakati wa tetesi za usajili, ukifuatili taarifa inaweza circulate mwezi mzima ikiwa na heading tofauti na tarehe tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uko sawa mkuu, sisi tunaosoma kwenye google mojakwa moja inamislead. Hakim mara nyingi anacheza kama RW, kwenye mechji na Chelsea alicheza kama Central Attacking Midfield. kwa hiyo usajili wa Hakim maana yake Jadon Sancho kwaheri, ndoto ya kuja Chelsea haipo tena. Labda wamsajili Sanchos halafu Hakim wamlazimishe acheze ama attacking Midfield
Yeah usajili wa Sancho ndio umekwisha. Nadhani wameangalia swala la kiushindani sokoni na bei ya Sancho wakaona bora wamuangalie Ziyech ambaye siyo overrated na pia yuko vizuri kitakwimu. Hapa sasa tuangalie Left Back wa maana. Nadhani Alex Telles atatufaa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa. Japo ana makosa madogo madogo lakini makosa yake yanaweza kufanyiwa kazi naona. Kikubwa tupate beki mzuri tuwe na safu bora ya ulinzi.

Nakumbuka Cech aliyoenda Arsenal na kukutana na ile safu mbovu alikuwa akifungwa muda mwingine magoli ya ajabu kabisa. Lakini sio kwamba alikuwa Kipa mbovu.
Wewe umezungumzia kisport zaidi tofauti na wengine wanazungumza kimiemuko zaidi.Tupo pamoja mzee baba.
 
Alimuuza sababu ya bifu. Na alikuwa anamtaka lukaku sema lukaku ndio alikataa kurudi chelsea akaenda man u.... Conte bado ni kocha mzuri....

Mkuu tuendelee kusubiri mambo mazuri yanakuja staki kuamini frank hatosajili striker mwenye kiwango cha juu isitoshe huenda batshuay n giroud wote wakaondoka kwa pamoja
Kuna mda huwa nafikiria conte alikuwa kocha mzuri sema tu alikosea kumuuza diego costa
Ngoja tuendelee kuangalia ikifika summer tutamsajili nani


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni kiungo mchambuliaji anachukua nafasi ya mount,Sancho ni right winger so wanacheza nafasi mbili tofauti.
Ziyech anacheza rw huku akitumia left foot au cam

Mount mara nyingi huwa anacheza lw or cam

Ningependa deal zote tungezimaliza wakati msim bado unaendelea ili ikifika mda wa summer ni kama tusiwe na pressure ya usajil na itatusaidia kwenye preseason wachezajin wazoeane mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah usajili wa Sancho ndio umekwisha. Nadhani wameangalia swala la kiushindani sokoni na bei ya Sancho wakaona bora wamuangalie Ziyech ambaye siyo overrated na pia yuko vizuri kitakwimu. Hapa sasa tuangalie Left Back wa maana. Nadhani Alex Telles atatufaa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah but naona skysport wanasema bado tunamuhitaji sancho hata kama tumemsajil ziyech
Deal ya sancho ikikamilika itakuwa poa na back up zaonzitakuwa ni pulisic na odoi

Alex telles twende na huyu jamaa

Beki wa kati kunayule jamaa wa rb liepzig umpenecano sijui kama jina nimepatia twende nahuyu thaman yaki haiwezi izidi 60
Koulibaly ninmzuri but fee yake ni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom