Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

official Chelsea Facebook page, mashabiki wana mind balaa baada ya Lampard kuconfirm ni kama tumeshafunga dirisha la usajili kwa 95%.

- wapo wanaomind bodi ya Chelsea tuliappeal transfer ban ya nini ili hali tumeshindwa kusajili hata mchezaji kwa mkopo

- wapo wanaommind Marina uongozi wake hauko serious Kupelekea club kuwa ya kawaida.

- wapo wanaommind Lampard kutosajili ili kuendelea kujificha kwenye kivuli cha usajili timu inapovurunda



Sent using Cash Money Wings
Smtime na sis mashabiki vigeugeu wakat wakina tammy walipokuwa wanafanya vizuri wengi walisema fifa wanaweza kuongeza kifungo sinc madogo walikuwa wanafanya vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachosema ni kweli bwana Dully. Hata huyo SANCHO tunayemtaka sisi £120M, sawa hata akija Chelsea ana watu wenye viwango vizuri vya kucheza naye, au ataishia kuflop. Na yeye kama mchezaji lazima ajiulize hayo maswali.



Sent using Cash Money Wings
Nahis fl atasafisha wote ambao hawana potential kule mbele atakae baki ni tammy na new no 9 atakaekuja willian na yeye mpaka sasa bodi bado inasita kumpa mkataba kule nyuma nahisi alonso na emerson wataondoka

Pedro na yeye ataondoka
Nategemea summer tutakuwa active sana kwenye transfer

Nahisi hii ni last chance board

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahis fl atasafisha wote ambao hawana potential kule mbele atakae baki ni tammy na new no 9 atakaekuja willian na yeye mpaka sasa bodi bado inasita kumpa mkataba kule nyuma nahisi alonso na emerson wataondoka

Pedro na yeye ataondoka
Nategemea summer tutakuwa active sana kwenye transfer

Nahisi hii ni last chance board

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kununua wachezaji wote kwa mpigo FL hana Dira uenda neyeye kwenye dirisha kubwa anaweza kuondolewa hiyo team ikishindwa top 4. Kwasababu hamna haja ya kurudisha £150 kwa tajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 


1. Chelsea haikua na haja ya kung'ang'ania ku"appeal wakiwa wanajua fika hawataki kusajili,, ilikua ni kama kutupa imani mashabiki kua we fight own(nadhan walijua 90% tutakataliwa appeal yetu). Ndo maana walivyofunguliwa ban still wameshindwa kufanya usajili wowote.

2. Hapo kwenye kuflop ni kawaida tu,, usajili wowote ni gambling,, karibia wote uliowataja walisajiliwa summer season na bado hawaku"perform..
Na hata kabla ya hao walikuwepo wakina torres l, shevchenko, mutu, ferreira na wengine kibao walio"flop before.. Haimaanishi kusajili sasa ingesababisha directly ku"flop.

3. Nadhani tulimlaumu sana sarri msimu uliopita, aliwasajili wachezaji wawili tu (gorginho & kepa), kumbuka msimu ulioisha hatukua na perfomance nzuri under conte..
Lakin aliiwezesha timu kushika nafasi ya 3 kwenye league, kuchukua ueropa pamoja na kufika fainali ya carabao cup(akiwatoa spurs & liverpool). Sidhani kama timu ime"improve kiasi hicho unachosema wewe

4. Kwa sasa timu imepoteza mvuto,, tukubali tukatae.. Ila ndo ukweli.. Ukijumlisha na kocha ndo kabisa hana ushawishi. Kila mchezaji anatamani kucheza chini ya klopp, mourinho na guardiola. Ila kwa Lampard tutasubiri sana. Kuna deals 80% tutafeli kwa sababu ya hilo.

5. Usajili ni muhimu hata kama timu ina"perform juu kiasi gani,, inasaidia kuinua morale ya wachezaji ....

6. All and all we fail to get all our targets, tusubiri dirisha kubwa tukiomba angalau tusalie top four,, vinginevyo tukishindwa kupata nafasi yakufuzu ligi ya mabingwa maana yake tusahau kuhusu werner, sancho na chilwell
Mkuu ukifikiri kidogo utaona yafuatayo:
1. Chelsea iliappeal ili iweze kujistrengthen kwenye hii January Transfer window. Lakini kwa sababu tunataka wachezaji hatuwezi kuleta kila MTU aliyeko sokoni. Tuliwasajiri Bakayoko, Emerson, Drinkwater, Barkley na Giroud kwa pupa, hivi wametusaidia nini mpaka leo?

Sasa angalia wachezaji tunaowataka timu zao bado zinashiriki UEFA CL hivi unafikiri RB Leibzig watamuuza T. Wenner? Leicester watamuuza Chilwel wakati they are battling for top 4? Ukienda kumuulizia Dembele unaambiwa bei mara 3 ya thamani yake, hivi nani mpumbavu atafanya hiyo biashara?

Bora kusubiri wakati muafaka ufike ili tupate watu sahihi kuliko kuwanunua akina Cavan, Mertens ambao wameshajizeekea.

2. Lampard ameimprove team sana tena sana. With the transfer made by Man U, Arsenal na Tottenham nani aliamini tutakuwa top six bila usajiri tena katika wakati huo mgumu kukampoteza Hazard?

Ni kipofu tu hawezi kuliona hilo.
Sasa hivi ukigusa wachezaji wafuatao thamani yao ni mara mbili au tatu zaidi ya ilivyo kuwa kabla ya Lampard kuja Chelsea; Tammy, Mount, Tomori, James R. Wakati huo huo tunashuhudia kiwango halisi cha Willian, Kovacic, Joginho, Azpillicuta. Hivi wawezaje kumu-underate Lampard katika mazingira haya!?

Unasema wachezaji wanamkataa Lampard, hivi ni nani amemkataa Lampard mpaka sasa kati ya wachezaji ambao Chelsea imewaaproach?

Tuwe wapole maamuzi sahihi yanayofanyika ni kwa ajili ya kupata kilicho bora huko mbeleni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora utd wamepata bull streaker ,hili jamaa linajua kuliko lacazete wako litamzidi magoli na assist hata likicheza michezo saba tu
Hahahaaaaaaaa jifariji....sasa mliappeal ile ban ili muuze au mnunue?
Aiseeeeh sijawahi kuona watu vigeugeu kama watu wa hiki kikundi chenu cha madalali ....

Mlipopigwa ban mlikuja kutuambia kuwa FL anajenga timu kupitia vijana wa academy na mkaomba ban iongezwe ili mzidi kuintroduce wachezaji nyota.
Mkafikia hatua ya kumuona Keppa ni zaidi Allison na Tomori na Zouma deluxe ni zaidi ya VVD,Abraham ni zaidi ya PEA so haina haja ya kusajiri.

Mlipofunguliwa ban mkaja na mitetesi ya kina Coulibary,Sancho n.k

Leo timu haihasajiri mnalaumu na kumtupia lawama FL jamani jamani dah....

Mshajisahau hahahahaaaa,muwage na KUMBUKUMBU.

HAYA SASA JISHIKE MIKONO KICHWANI KISHA SEMA BYE BYE BIG 4.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichogundua baada ya kuangalia press conference ya Lampard ukimuangalia usoni Lampard ameonesha hata yeye mwenyewe kukerwa na board kushindwa kusign wachezaji anao wapenda ila akaogopa kusema ukweli cos itasababisha kuingia mgongano na board na hii ilimtokea Conte kwa kuwalalamikia board kuleta wachezaji ambayo yeye hakuwahitaj.
Me nashangaa watu wanaomlaumu Lampard kwenye Hili wakati yeyemwenyewe tokea mwanzo alisema anataka usajili ufanyike.
 
Nahis fl atasafisha wote ambao hawana potential kule mbele atakae baki ni tammy na new no 9 atakaekuja willian na yeye mpaka sasa bodi bado inasita kumpa mkataba kule nyuma nahisi alonso na emerson wataondoka

Pedro na yeye ataondoka
Nategemea summer tutakuwa active sana kwenye transfer

Nahisi hii ni last chance board

Sent using Jamii Forums mobile app
kama vile kichwa chako ndio chelsea haya mambo ya kukadilia bila hakika
 
Kwenye mkataba wake ni timu tu isishuke daraja. Kuondolewa kwa sababu team haijaingia top 4 itakuwa ni nje ya mkataba.
Huwezi kununua wachezaji wote kwa mpigo FL hana Dira uenda neyeye kwenye dirisha kubwa anaweza kuondolewa hiyo team ikishindwa top 4. Kwasababu hamna haja ya kurudisha £150 kwa tajiri

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom