Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashaka tunayopata mashabiki ni kwamba kwa kocha ambaye yuko na plan kabambe ya kujenga Chelsea mpya, kikosi cha kushindania mataji, asingeacha dirisha limpite angalau aanze kusajili wachezani baadhi kuanza kuimarisha kikosi.

Kwenye dirisha kubwa ni kumalizia kusajili key targeted players.


Sent using Cash Money Wings
Kusajili January ngumu kupata best player,,pia mchezaji anaweza pata shida kuadapt ligi ikiwa katkat,,all in all January transfer ni kamali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimya wa LAMAPRD unatuchanganya mashabiki hahahaha. Ila kwa kuwa tumempa dhamana ya kutujengea timu kali ya kubeba ubingwa msimu ujao wacha tuwe wapole tuendelee kumsupport kwa nguvu zote.

Sent using Cash Money Wings
Mkuu kuwa mpole vitu vizuri havitaki haraka.

Ukiwa kwenye thread za wapinzani unajimwambafai kumbe kwako hakuna kitu. Kusajili right players kwenye dirisha hili sio rahisi kama unavyofikiria. Tulia dawa ikuingie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuwa mpole vitu vizuri havitaki haraka.

Ukiwa kwenye thread za wapinzani unajimwambafai kumbe kwako hakuna kitu. Kusajili right players kwenye dirisha hili sio rahisi kama unavyofikiria. Tulia dawa ikuingie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka kinoma maana Cash money Wings , hakawii kuja kutunanga
 
Tu be honest,, naona Lampard sio mtu mwenye malengo makubwa kwa msimu huu..

He is there just kuufuatisha mkataba wake wakutoshusha timu daraja tuu..

Hivi chelsea kwanini walienda ku"appeal ile ban,, it means tulikua tunahitaji kusajili. Sasa dirisha limefunguliwa, Lampard akapewa 150M na still ameshindwa kupata target yeyote.. Of course yeye ni low profile coach na nahisi ni moja ya sababu ya wachezaji kugoma kuja chelsea lakini bado tungeweza kutumia title ya team kusajili..

Ninavyoona mimi Lampard hataki kusajili,, na anatafuta huruma ya mashabiki tu,, najua soon atasema hakupata watu sahihi ndo maana hajafanya usajili.. Hii itamsaidia akipata matokeo mabovu atakuja na sababu zile zile, hajasajili & academy player hawana uzoefu bado.. We will learn itakua ni our motto..

All and all n tukiwa tunaamini maybe tunaeza fanya usajili mkubwa summer...
Najiuliza ikitokea at the end of season tumeshinda kupata nafasi itakayotufnya tushiriki UEFA CHAMPIONS LEAGUE na hali ya timu yetu kwa ujumla kuna high profile player yeyote ataekubali kuja Chelsea ..????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wamama msimu huu ni wamotoo...washatinga final hapo
Screenshot_20200130-003639_Instagram~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimya wa LAMAPRD unatuchanganya mashabiki hahahaha. Ila kwa kuwa tumempa dhamana ya kutujengea timu kali ya kubeba ubingwa msimu ujao wacha tuwe wapole tuendelee kumsupport kwa nguvu zote.

Sent using Cash Money Wings
Sio Lampard wa kusajili, naye analalamika kama sisi. Bodi ndio imekaa kimya sijui kwanini walikata rufaa
 
Tu be honest,, naona Lampard sio mtu mwenye malengo makubwa kwa msimu huu..

He is there just kuufuatisha mkataba wake wakutoshusha timu daraja tuu..

Hivi chelsea kwanini walienda ku"appeal ile ban,, it means tulikua tunahitaji kusajili. Sasa dirisha limefunguliwa, Lampard akapewa 150M na still ameshindwa kupata target yeyote.. Of course yeye ni low profile coach na nahisi ni moja ya sababu ya wachezaji kugoma kuja chelsea lakini bado tungeweza kutumia title ya team kusajili..

Ninavyoona mimi Lampard hataki kusajili,, na anatafuta huruma ya mashabiki tu,, najua soon atasema hakupata watu sahihi ndo maana hajafanya usajili.. Hii itamsaidia akipata matokeo mabovu atakuja na sababu zile zile, hajasajili & academy player hawana uzoefu bado.. We will learn itakua ni our motto..

All and all n tukiwa tunaamini maybe tunaeza fanya usajili mkubwa summer...
Najiuliza ikitokea at the end of season tumeshinda kupata nafasi itakayotufnya tushiriki UEFA CHAMPIONS LEAGUE na hali ya timu yetu kwa ujumla kuna high profile player yeyote ataekubali kuja Chelsea ..????

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ninyi si muende kwa DOF wenu kwenye nyumba yake mumfanyie vurugu, tena yule wenu ni wa kike, faster ataogopa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hatutampata Cavani basi mechi yetu na Bayern au hata makombe mengine itakua kazi ngumu kwetu kufika hatua nzuri. Tuhesabu msimu huu kazi iliyopo ni kuhakikisha tunabaki top four.

Back line siyo shida sana ila kwenye ushambuliaji ndio tatizo lilipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tar 1 dirisha litafungwa. Pia tar moja hiyo tunacheza na leicester city. Hiyo match tukipigwa labda jamaa atakumbuka kusajili.

Hivi mtu kama Eriksen sijaona kama kulikuwa na juhudi zozote za kumpata hadi kaenda intermilan.
Kama hatutampata Cavani basi mechi yetu na Bayern au hata makombe mengine itakua kazi ngumu kwetu kufika hatua nzuri. Tuhesabu msimu huu kazi iliyopo ni kuhakikisha tunabaki top four.

Back line siyo shida sana ila kwenye ushambuliaji ndio tatizo lilipo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom