Enlightenment
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 1,321
- 3,310
Dries Mertens ni mchezaji mzuri mkimpata mtakua mmeongeza kitu upande wa ushambuliaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dries Mertens ni mchezaji mzuri mkimpata mtakua mmeongeza kitu upande wa ushambuliaji.
richarlson alienda everton kwa £50m akitokea watford
Mkuu ukifikiri kidogo utaona yafuatayo:Tu be honest,, naona Lampard sio mtu mwenye malengo makubwa kwa msimu huu..
He is there just kuufuatisha mkataba wake wakutoshusha timu daraja tuu..
Hivi chelsea kwanini walienda ku"appeal ile ban,, it means tulikua tunahitaji kusajili. Sasa dirisha limefunguliwa, Lampard akapewa 150M na still ameshindwa kupata target yeyote.. Of course yeye ni low profile coach na nahisi ni moja ya sababu ya wachezaji kugoma kuja chelsea lakini bado tungeweza kutumia title ya team kusajili..
Ninavyoona mimi Lampard hataki kusajili,, na anatafuta huruma ya mashabiki tu,, najua soon atasema hakupata watu sahihi ndo maana hajafanya usajili.. Hii itamsaidia akipata matokeo mabovu atakuja na sababu zile zile, hajasajili & academy player hawana uzoefu bado.. We will learn itakua ni our motto..
All and all n tukiwa tunaamini maybe tunaeza fanya usajili mkubwa summer...
Najiuliza ikitokea at the end of season tumeshinda kupata nafasi itakayotufnya tushiriki UEFA CHAMPIONS LEAGUE na hali ya timu yetu kwa ujumla kuna high profile player yeyote ataekubali kuja Chelsea ..????
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tatizo ni kwamba hakuna jitihada za kupata wachezaji au klabu haijawapata watu sahihi?Na ninyi si muende kwa DOF wenu kwenye nyumba yake mumfanyie vurugu, tena yule wenu ni wa kike, faster ataogopa
Sent using Jamii Forums mobile app
Juhudi zinafanyika kimya kimya na hazitangazwi mkuu. Alafu Tottenham inaweza kumuuza mchezaji Chelsea kweli?Tar 1 dirisha litafungwa. Pia tar moja hiyo tunacheza na leicester city. Hiyo match tukipigwa labda jamaa atakumbuka kusajili.
Hivi mtu kama Eriksen sijaona kama kulikuwa na juhudi zozote za kumpata hadi kaenda intermilan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mliappeal ile kesi yenu ili iweje?TUJIKUMBUSHE TETESI MBALIMBALI KUELEKEA KUFUNGWA KWA DIRISHA LA USAJILI
Sent using Cash Money Wings
Ericksen inaonekana hakua tayari kuendelea kucheza England.Tar 1 dirisha litafungwa. Pia tar moja hiyo tunacheza na leicester city. Hiyo match tukipigwa labda jamaa atakumbuka kusajili.
Hivi mtu kama Eriksen sijaona kama kulikuwa na juhudi zozote za kumpata hadi kaenda intermilan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshamkosa , Ameshamalizana na ATM anaenda summerDries Mertens ni mchezaji mzuri mkimpata mtakua mmeongeza kitu upande wa ushambuliaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji22][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usinichafulie siku yangu huyo Zaha Kama unampenda Sana msajili kwenye team yako na si Chelsea.Zaha Hana kiwango Cha kuchezea Chelsea.Hello Chelsea Fans
Kwema huku
Mbona jukwaa limetulia kama kinyozi anafanya kazi yake
Cavani bado
Zaha je?
Dries Mertens
Si wangemrudisha hata Drogba na uzee ule bado angetusaidia!
Juhudi zinafanyika kimya kimya na hazitangazwi mkuu. Alafu Tottenham inaweza kumuuza mchezaji Chelsea kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Loftus Cheek amerudi kikosini, achezeshwe kama STRIKER.
Sent using Cash Money Wings
Ni hatari na nusuHawa wamama msimu huu ni wamotoo...washatinga final hapoView attachment 1340246
Sent using Jamii Forums mobile app
Fainal lazima kina Miedeama wawapigeHawa wamama msimu huu ni wamotoo...washatinga final hapoView attachment 1340246
Sent using Jamii Forums mobile app