Nahis fl atasafisha wote ambao hawana potential kule mbele atakae baki ni tammy na new no 9 atakaekuja willian na yeye mpaka sasa bodi bado inasita kumpa mkataba kule nyuma nahisi alonso na emerson wataondoka

Pedro na yeye ataondoka
Nategemea summer tutakuwa active sana kwenye transfer

Nahisi hii ni last chance board

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi namna hiyo. Hata timu Tajiri kama Real Madrid, Barcelona hawafanyi hivyo kwa mkupuo.
Kuna sheria za usajili zinaweka limitation nyingi tu.
Timu nzima lazima hawa wabaki

KIPA
  1. Kepa 50/50
MABEKI
  1. Rudiger
  2. Christiansen
  3. Azpilicueta
  4. Tomori
  5. Kourt Zouma
  6. Reece James
KATI
  1. Kovacic
  2. Jorginho
  3. Kante
  4. RLC
  5. Mount
MBELE
  1. Willian
  2. Tammy Abraham
  3. Odoi
  4. Christian Pulisic*
Msimu wa kiangazi watakaoongezeka wakizidi ni watano tu
  1. Kipa
  2. Winga
  3. Striker
  4. Kiungo mshabuliaji
  5. LB
Watakaotoka
  1. Giroud - free
  2. Batshuayi - mnada/mkopo
  3. Pedro - free
  4. Barkley - mnada/mkopo
  5. Alonso - mnada/mkopo
  6. Emerson - mnada/mkopo
  7. Kepa - 50/50 anaweza uzwa
 
Inaonesha tokea desemba 4 adi leo hatujashinda mechi mbili mfululizo ukiachia mechi ya FA. Tukienda na trend hii Lei wanaweza kutufunga leo..possipility ya kuanza na Batu kama mshambuliaji wetu ni mkubwa..



mpira ni dk 90
 
Hahahaaaaaaaa jifariji....sasa mliappeal ile ban ili muuze au mnunue?
Aiseeeeh sijawahi kuona watu vigeugeu kama watu wa hiki kikundi chenu cha madalali ....

Mlipopigwa ban mlikuja kutuambia kuwa FL anajenga timu kupitia vijana wa academy na mkaomba ban iongezwe ili mzidi kuintroduce wachezaji nyota.
Mkafikia hatua ya kumuona Keppa ni zaidi Allison na Tomori na Zouma deluxe ni zaidi ya VVD,Abraham ni zaidi ya PEA so haina haja ya kusajiri.

Mlipofunguliwa ban mkaja na mitetesi ya kina Coulibary,Sancho n.k

Leo timu haihasajiri mnalaumu na kumtupia lawama FL jamani jamani dah....

Mshajisahau hahahahaaaa,muwage na KUMBUKUMBU.

HAYA SASA JISHIKE MIKONO KICHWANI KISHA SEMA BYE BYE BIG 4.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwez sajil wakat kepa na tomori wanatosha
 
willian na kova wanaanzia benchi
20200201_143703.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio rahisi namna hiyo. Hata timu Tajiri kama Real Madrid, Barcelona hawafanyi hivyo kwa mkupuo.
Kuna sheria za usajili zinaweka limitation nyingi tu.
Timu nzima lazima hawa wabaki

KIPA
  1. Kepa 50/50
MABEKI
  1. Rudiger
  2. Christiansen
  3. Azpilicueta
  4. Tomori
  5. Kourt Zouma
  6. Reece James
KATI
  1. Kovacic
  2. Jorginho
  3. Kante
  4. RLC
  5. Mount
MBELE
  1. Willian
  2. Tammy Abraham
  3. Odoi
  4. Christian Pulisic*
Msimu wa kiangazi watakaoongezeka wakizidi ni watano tu
  1. Kipa
  2. Winga
  3. Striker
  4. Kiungo mshabuliaji
  5. LB
Watakaotoka
  1. Giroud - free
  2. Batshuayi - mnada/mkopo
  3. Pedro - free
  4. Barkley - mnada/mkopo
  5. Alonso - mnada/mkopo
  6. Emerson - mnada/mkopo
  7. Kepa - 50/50 anaweza uzwa
Wachezaji wa 5 sio kazi ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio rahisi namna hiyo. Hata timu Tajiri kama Real Madrid, Barcelona hawafanyi hivyo kwa mkupuo.
Kuna sheria za usajili zinaweka limitation nyingi tu.
Timu nzima lazima hawa wabaki

KIPA
  1. Kepa 50/50
MABEKI
  1. Rudiger
  2. Christiansen
  3. Azpilicueta
  4. Tomori
  5. Kourt Zouma
  6. Reece James
KATI
  1. Kovacic
  2. Jorginho
  3. Kante
  4. RLC
  5. Mount
MBELE
  1. Willian
  2. Tammy Abraham
  3. Odoi
  4. Christian Pulisic*
Msimu wa kiangazi watakaoongezeka wakizidi ni watano tu
  1. Kipa
  2. Winga
  3. Striker
  4. Kiungo mshabuliaji
  5. LB
Watakaotoka
  1. Giroud - free
  2. Batshuayi - mnada/mkopo
  3. Pedro - free
  4. Barkley - mnada/mkopo
  5. Alonso - mnada/mkopo
  6. Emerson - mnada/mkopo
  7. Kepa - 50/50 anaweza uzwa
Pep msim wake wapili alisajil wachezaj km 5 hiv
Ederson
Danilo
Mendy
Bernardo
Walker


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom