Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Kama January katoa pesa hiyo basi dirisha kubwa lazima iongezeke. Anaweza ongeza hata 100 au 150 iwe £300. Ila kwa jinsi nionavyo nahisi Lampard hataki kufanya sajili kubwa kubwa au hataki kufanya sajili kiholela.mashabiki tuliomba tufungiliwe ban, lakini kocha alikuwa na plan zake.
Kama lampard angekuwa na plan ya kusajili wachezaji kama sancho, werner, Dembele au Chiliwel tungewanunua halafu tuwaache kwenye club zao waendelee kucheza kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu, kama tulivyofanya kwa Pulisic.
Kinachonipa wasiwasi Abromovich atatoa pesa nyingine kwenye dirisha kubwa au hizi alizotoa January £150M ataziacha kwanza zitumike?
Sent using Cash Money Wings
Academy graduates pekee bila experienced player hawatufikishi popote.
Sent using Jamii Forums mobile app
