Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani siku hizi kutembelea threads za Man Utd, Arsenal, Chelsea na City inakuwa kama unaenda kufariji wagonjwa.

Jamani endeleeni kupambana, hata sisi tumetoka huku mliko.
 
Luiz kutolewa ni habari njema kwenu, mimi nashangaa badala ya kufurahia mnasikitika. Luiz ni uchochoro na jana alitolewa na uchochoro ukatoka na ndio maana tulipata tabu ya kufunga.
Luiz ndiye beki bora toka Arteta katia timu, hajawahi kutuangusha Gunners.
#COYG
 
Frank Lampard has confirmed that Chelsea FC are “looking” to sign a new striker in the January transfer window.
Baada ya Abraham kuumia hakuna choice inabidi tu wamlete Timo Werner au Cavani kwa lazima tena huyo Timo aletwe chini ya ulinzi wa Polisi
Afanye fasta maana Bayern wanakuja soon, sasa akijichelewesha mtapata dhoruba kama aliyopewa Spurs.
 
Niwakumbushe tu kuwa Chelsea ilikuwa na 5 au 6 kipindi kama hiki mwaka jana, ni low form ya Arsenal na Spuirs ndiyo ilitupush hadi nafasi ya 3. Chelsea ya Mwaka huu ni bora kuliko ile ya mwaka jana. Tunasumbuliwa na inconsistency ambayo ipo kwenye timu zote ukiondoa Liverpool
Usiwaone hawa Man U, Arsenal, Spurs, Leicester city, Man City, na hao wengine nao wana mafua zao zinawasumbua. So uanaweza kuta table standing isibadilike sana hadi msimu unaisha
Naona ya mwaka huu imezidi inconsistence,,

Ni ubaya tu wa man u, tottenham na arsenal ziko hovyo zaidi ndo maana unasema tuko vizuri kuliko mwaka jana...
Kwa sababu spurs ya mwaka jana huwezi ifananisha na hii ya sasa hata arsenal ya sasa ni mbovu kuliko ya msimu uliopita..

Let me remind you,, mwaka jana we played final in carabao cup na pia fainali ya Ueropa na kuchukua ndoo..

Ila kwa sasa jinsi tunavyocheza sioni dalili hata ya kombe moja,, we play like kids..
Haieleweki tunataka nin kwenye mechi,, tukiongoza goli 1 tuu tuna"relax utadhani tunaongoza 5-0...

Lampard asajili tu , vinginevyo tutaumia sana hapo mbeleni...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Victor Moses uyooooooo.!

hv management walikwama wapi ad wakamfukuza conte.?
 
Naona ya mwaka huu imezidi inconsistence,,

Ni ubaya tu wa man u, tottenham na arsenal ziko hovyo zaidi ndo maana unasema tuko vizuri kuliko mwaka jana...
Kwa sababu spurs ya mwaka jana huwezi ifananisha na hii ya sasa hata arsenal ya sasa ni mbovu kuliko ya msimu uliopita..

Let me remind you,, mwaka jana we played final in carabao cup na pia fainali ya Ueropa na kuchukua ndoo..

Ila kwa sasa jinsi tunavyocheza sioni dalili hata ya kombe moja,, we play like kids..
Haieleweki tunataka nin kwenye mechi,, tukiongoza goli 1 tuu tuna"relax utadhani tunaongoza 5-0...

Lampard asajili tu , vinginevyo tutaumia sana hapo mbeleni...



Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka pia kuwa mwaka huu hatupo Europa ile ligi ya wachovu na ndio maana mwaka jana tuliwaonea mpaka Giroud ambaye hana namba leo alikuwa mfungaji bora. Tupo UEFA ligi ya wanaume, tupo ktk makombe haya madogo ambayo na Liverpool, City na hao wengine wapo kama mwaka jana, Mimi naona Chelsea imeimprove against hao top 4 contenders
 
Yaani siku hizi kutembelea threads za Man Utd, Arsenal, Chelsea na City inakuwa kama unaenda kufariji wagonjwa.

Jamani endeleeni kupambana, hata sisi tumetoka huku mliko.
Mzee naona unacopy na kupaste hii post yako dah....tumekuelewa mkuu,maana yote hayo ni maandalizi ya taji la EPL la kwanza kabisa....na ole wenu liwapuruchuke,maji mtaita mma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni dalili yoyote ya Chelsea kusajili hii board yetu ya usajili sijui ikoje
 
Chelsea walikuwa na chances 19 wakati Arsenal walikuwa na 2 tu! tena moja na kwa hisani ya Kante
Halafu bado tunataka kuweka nguvu kubwa kwenye defense na kipa. Tunahitaji strikers na wingas kwanza ambao wana uwezo wa kucovert chance 19 angalu tupate mabao saba hivi, hao wengine baadaye msimu wa kiangazi
 
Hii logo ya three itatuletea shida, tukifungwa goal 3 utasikia wazee wa 3, tukipoteza match utasikia wazee wa kudondosha point 3.

Bora tuwe tunagawa dozi magoli matatu matatu, tukusanye point tatu tatu.

Tatu kwetu iwe ni sifa sio kutaniwa.

Sent using Cash Money Wings
Hii kutaniwa lazima tu

Logo ilikuwa samsung tu hizi zingine basi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom