Hicho unachokisema LAMPARD anakitaka?
Mimi naweza kuhisi kidogo plan za Lampard. Lampard anataka atengeneze wachezaji wake.
Anataka kumtengeneza ODOI, MOUNT, TAMMY, TOMORI, na academic players wengine waje kuwa mastar.
Lampard anataka kufanya kama Pochetino alivyowatengeneza KANE, DELE ALI na wengine.
Sidhani LAMAPRD atasajili STRIKER mkali wa kumuweka TAMMY nje. MOUNT atacheza mara nyingi over Pulisic, namuona ODOI anaenda kuwa replacement ya kudumu ya willan.
Lampard mara kibao amekuwa akisema anaamini wachezaji alionao sasa wakijituma zaidi kwenye mazoezi, wakajifunza jinsi ya kusahihisha makosa yao anaamini niwachezaji wazuri sana.
Na lampard ndicho anachokifanya sasa kwa wachezaji. HARD WORKING, HARD WORKING, HARD WORKING + CORRECTING MISTAKES/ERRORS.
Lakini ukweli utabaki pale pale kwamba kikosi chetu kitaendelea kukosa CREATIVITY endapo tutaendelea kuwa na wachezaji hawa hawa bila maingizo mapya.
Sent using Cash Money Wings