42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,914
We sijui hata unaangalia wapi mpira wako.Aliendelea kucheza kama kawaida mpk alipopata majeruhi. Kocha hajajua tatizo lake mpk sasa. tuendelee tu kupgwa mpk atakapojua tatizo lake.
Baada ya ile game na valencia ambayo Barkley aling'ang'ania penalty. game iliyofuata tulicheza na Liver Barkley hakuwemo.
Baada ya hapo ikaja game ya Carabao ambayo wachezaji wengi walipumzishwa Barkley akacheza.
Game iliyofuata ndiyo game aliyokuja kupata majeruhi.
Jamaa unaonekana unamchukia sana Barkley, Mbna gemu ya weekend iliyopita tuliyoshinda 3 bila barkley aliperform vizuri sana au hukuangalia?
Haya unasema Lampard anaendekeza waingereza. Willian, Kante, Joginho, Rudiger, Azplicueta, Christesen/Zouma, Pulisic hao wote ni waingereza?
Sent using Jamii Forums mobile app