lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,486
Halafu jamaa wamekaa kim ya usajili, Roman auze tu timu ili tupate mwingine kama wa Mancity atakayejituma kutuletea wachezaji wa kuamua matokeo. Tunahitaji striker na winga wa kuamua matokeo wakati wa mechi ngumu
Odoi na Mason kule mbele wanafaa sana ila wawe sub mpaka wakomae
Odoi na Mason kule mbele wanafaa sana ila wawe sub mpaka wakomae