Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Mhh we umepigwa miti kivyako unaanza kuhusisha na wasiohusika.... Pambana na hali yako mkuuHii team mateso sijui washabiki wa arsenal wanaishije kama mimi nateseka ivi
Mhh we umepigwa miti kivyako unaanza kuhusisha na wasiohusika.... Pambana na hali yako mkuuHii team mateso sijui washabiki wa arsenal wanaishije kama mimi nateseka ivi
HahahaHahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
HEEEEEEEEEEEEWEWeeeeeeeeeeeeeeee
Haaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaãaaaaaaaaaaaasaasaaaaaaaaaaaaaaa
Yamepigwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna umuhimu wa mashabiki wa arsenal kutuambia wanawezaje kuvumilia maana unajua kwanini wako namba kumiMhh we umepigwa miti kivyako unaanza kuhusisha na wasiohusika.... Pambana na hali yako mkuu
Kama uliangalia game ya Brighton basi utajua kwann Kovacic yupo benchi...Mpaka msimu uishe tutakua na maswali halafu majibu hatujui, kova nae vp pia? ......... kova ni wakusugua benchi kweli?? unamtetea tu lampard ni kocha wa hovyo.
chelsea, iliyofungwa dkk ya 94
Dakika ya mwisho Rudiger na Kepa wametuangusha
Poleni wana CHELSEA wenzangu.
Rudger + Keppa wasilaumiwe kabisa. Kama team imemiliki mpira dk 90, zimepigwa corner 10 hakuna goals tutegemee nini zaidi ya kufungwa. Mechi Ingetakiwa iishe 4-1, 3-1, 2-1.
Matatizo ya team yetu yanaonekana waziwazi, quality ya mchezaji mmoja mmoja tunafahamu. Siwezi kulisemea hilo last time nilisema nikaambiwa naongea bila kutumia akili.
Hakuna marefu yasiokuwa na ncha. Muda ni mwalimu mzuri.
Let's go blues.
Sent using Cash Money Wings


Mkuu mimi sijauanalyse mpira wote, kwanza niuna hasira ya kupoteza mechi kama hii. zote ni fursa, kuscore na kuzuia, hao wa kuscore walishakosea na mabeki nao waruhusu goli kijinga namna hiyo tena kwenye sekunde ya 40 na ushenzi ya dakika ya mwisho, haikubaliki. Huo mpira Kipa angeanticipate na kuupangua usitue kichwani mwa Rudiger au mfungajiKulaumu mabeki na kipa wakati tumewaste chances nyingi siyo sawa kabisa.
Hao ni wachezaji na ni kweli wanaweza kuwa wamekosea, ni mambo yanatokea katika mchezo. Lakini je hao wawili ndio walipelekea tushindwe kuscore?
Sent using Jamii Forums mobile app


Mazee vip mbna tunafungwa fungwa ovyo..
Izo sub za lampard dah..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app