Huyo abraham unaesema anaruka ruka leo hii magoal yake ndio yanatufanya tuwe top 4 same na kina hao wakina mountNaelewa sana Alonso ni majeruhi, ila kabla y game la spars alikua hachezi, sabab kadrop kiwango. ndio angempa motivation kama anaewapa waingereza wake!. Umeshaona hat Giroud akipewa chance, Abraham ndio huyo anaruka ruka tu kwnye chance kumi anapata moja ila fresh tu kwa kuwa ni muingereza.
Naelewa sana Alonso ni majeruhi, ila kabla y game la spars alikua hachezi, sabab kadrop kiwango. ndio angempa motivation kama anaewapa waingereza wake!. Umeshaona hat Giroud akipewa chance, Abraham ndio huyo anaruka ruka tu kwnye chance kumi anapata moja ila fresh tu kwa kuwa ni muingereza.
Hivi kama Kovacic au Kante hawako fiti, unataka acheze nani pale kati?Mount talented sana yule mtoto, yupo vizur. Mi huyu barcley mi ndio wananivuruga!! eti kocha ndio jembe lake! kha.
Kwangu kovacic ni Bora than mount.Hivi kama Kovacic au Kante hawako fiti, unataka acheze nani pale kati?
Sent using Jamii Forums mobile app
Game ya Leo ni ngumu Sana ili tushinde ningependa kikosi kiwe hiki
1.Kepa
2.James
3.Alzipicueta
4.Rudiger
5.Zouma
6.Jorginho
7.Willian
8.Kovacic
9.Abraham
10.Barkley
11.Odoi
Tatizo la mount sio mzuri kwa kupandisha team kwa hii game inamuitaji Barkley zaidi ya mount cos Newcastle wanacheza Sana defensive so inaitaji mtu atakayeifungua defense yao na Barkley ni perfect for that.Barkley ni mzuri kama akicheza free number ten huku umewaweka watu wawili wa kukaba jorginho na kovacic kante yupo injury ndomaana akiwa kwenye national team ana kuwa Bora cos ana kuwa juu ya dier na Henderson lakini pia ni first eleven ya team ya England japo Chelsea anakaa benchi.Mzee baba unamuona Barkley sio mzuri kutokana na matumizi ya makocha lakini Barkley ni mchezaji mzuri Sana.