Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwani lampard kapewa 150 tu??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kapewa 150

Lakin mimi naona bora tu amurudishie boss maana kakosa wachezaji

Sawa sawa na wewe unaenda mnadani ili ukanunue jinsi lakin baada ya kufika mnadan unakuta hakuna jeans kwahiyo ni bora tu urudi na pesa yako ukijifanya mjuaji hiyo pesa unaweza ishia kuinunua muwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7424.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Chelsea Swap Deals
1. Michy Batshuayi + Cash :: Timo Werner
2. Andreas Christensen + Cash :: Dayot Upamecano, Alessio Romagnoli or Milan Skriniar
3. Emerson + Cash :: Alex Telles or Ben Chilwell
4. Callum Hudson-Odoi (loan) + Cash :: Jadon Sancho
 
Kuna kila dalili kuwa Chelsea hawana mpango wa kumnunua striker January hii
Chelsea to recall striker

Conor Gallagher is expected to be recalled from his loan at Charlton Athletic by Chelsea this week.
The 19-year-old has impressed during his spell with the Addicks
 
Atletico plan Lacaczette/Lemar swap
Atletico Madrid are reportedly considering a swap deal involving Alexandre Lacazette and Thomas Lemar.
 
Arsenal takeover?
A Nigerian businessman has admitted that he is trying to complete a takeover of Arsenal.

Aliko Dangote has made no secret of his desires to be Arsenal’s chief in the past, and has reiterated his hope of buying the club.
 
Angefanya hivi kwa Giroud pia ili kumpa moyo.
Barkley kuna lulu iko ndani yake na ni lazima kwa kocha yeyote anayetaka kutumia rasilimali zote zilizojificha ndani ya mchezaji kadhalika Giroud kocha anaongea naye na imeripotiwa mara nyingi pengine incident hazikufanana tu
 
BARKELY ni mchezaji lulu kwenye midtable teams like Everton. Kwa timu kubwa kama chelsea BARKELY anamezwa.

Sent using Cash Money Wings
Kocha anajua kuliko wewe na matokeo tumeona. Tatizo la mashabiki wengi wa nje ya England wanawachukia sana wachezaji wa England hata kama wanacheza vizuri
Akishuka form Alonso haina shida, akishuka form mchezaji yeyeote wa nje haina shida lakini form ya mchezaji yeyote wa England akishuka form makelele mengi na downgrading hata kama mchezaji ni mzuri. kocha anajua anachokifanya na sisi tunachosubiri ni matokeo
Makocha wote wawili hawawezi kuwa wrong Barkley kupangwa timu ya Taifa yenye ushindani mkubwa wa namba sio mchezo
Barkley alitoka kwenye majeraha ya muda mrefu akiwa Everton ndio kwanza anajitahidi kurudi kwenye ile form yake nzuri ya Everton. Na ukumbuke kuwa wachezaji wote wazuri aidha wanatokea kwenye academy au kwenye timu ndogo, CR7 alitokea kwenye timu ndogo, Hazard alitokea kwenye timu ndogo, Drogba alitokea kwenye timu ndogo, Barkley nae alitokea Everton na atakuja kuwa MF mwenye jina tu labda akatae mwenyewe
 
Huu ni ulevi uliotukuka.... huwezi ukawa mpumbavu hivi halafu ukawa kocha. Tupo hapa Lampard hatokaa akashinda kikombe chochote akiwa na huo upuuzi kichwani kwake.
Unaweza muona FL mlevi, kumbe tatizo ni wewe, leo hii tukupe chelsea weweeee, tuambie una skills gani wewe hadi umuite Lampard mlevi
 
Kati ya wachezaji wenye work rate kubwa msimu huu ni Mount. Tatizo ni kwamba mnajadili mpira kwa hisia badala ya kutumia akili
Makocha wa kiingereza sio kabisa UINGEREZA UINGEREZA UINGEREZA mbele, Wanaanda wachezaji kwa kiingereza kwa ajili ya national team yao.

Mchezaji wa kiingereza aingie kikosini kwa ubora wake kama ilivyokuwa kwa kina Terry, Lampard, Cahil, na sasa hivi Odoi na Tammy.

Barkely na Mount wanabebwa tuu hawana ubora wa kuwaweka nje Kovacic na Pulisic.

Sent using Cash Money Wings

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom