YAMETIMIA HAHAHAHAYaani tumepata 6 corners lakini zote zimeenda bure.... Usishangae Newcastle wakipata kona moja wanatutungua na biashara inaishia hapohapo....
Tunashindwa kuscore kwa mashuti ya mbali na set pieces... Hili ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mjukuu wa sheikh Yahya, utabiri umetimiaYaani tumepata 6 corners lakini zote zimeenda bure.... Usishangae Newcastle wakipata kona moja wanatutungua na biashara inaishia hapohapo....
Tunashindwa kuscore kwa mashuti ya mbali na set pieces... Hili ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado 0-0 ila kwa uzoefu wa team yetu ikishindwa kupata goli kipindi cha kwanza gemu inaisha sare au tunafungwa moja bila,labda leo wabadilike
Nilisema before....Yaani tumepata 6 corners lakini zote zimeenda bure.... Usishangae Newcastle wakipata kona moja wanatutungua na biashara inaishia hapohapo....
Tunashindwa kuscore kwa mashuti ya mbali na set pieces... Hili ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii team mateso sijui washabiki wa arsenal wanaishije kama mimi nateseka ivi
Tupangie kikosi basi nani angecheza hii match ya leo?Ata akisajili bado ataendelea na hiyo michezaji yake,bado ni kazi bure
Leo umebakwa wewe????We match ijayo unakuja darajani kubakwa nilishakuambia... piga kelele hizi siku mbili
Sent using Jamii Forums mobile app