Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Batshuayi kwa kweli tungemuachia tu aende, sioni kama anamsaada wowote kwa timu...

Najua chelsea sasa tunaogopa asije kua salah, bruyne au lukaku mwingine,, lakini muda mwingine ukishindwa ku"unlock potential ya mchezaji ni bora umuachie aende..

Kwa mpira wa leo sub nzuri ingekua ya mtu kama giroud,, kwa crosses na kona zile naamin angefunga angalau goli moja..

Ila kuwategemea hawa watoto wakina abraham ambao wakikosa goli wanacheka hukh wakiwahi kuangalia cameras,, sidhani kama tutafika inapotakiwa

Men wins you a match sio hawa boys

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole, umeongea kwa uchungu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumepata corner 10 zote zimeenda bure...
Kwakweli lampard naona kuna kitu bado anakikosa,,,

Nahisi hajui mapungufu ya timu,, au kuna vitu anavyoamini ambavyo sio sahihi..

Chelsea inakosa watu wa long range shoot,, sidhani kama kwenye training hii kitu wanaifanya..

Pia sio deadly tena kwenye set pieces.
Mechi nyingi tunapata kona nyingi ila hatuzitumii.. Ni moja tu nakumbuka alifunga azpilicueta.. Tammy mrefu lakin hajui kabisa kuji"position

Lampard anatakiwa ajue weakness za timu ,na azifanyie mazoezi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Batshuayi kwa kweli tungemuachia tu aende, sioni kama anamsaada wowote kwa timu...

Najua chelsea sasa tunaogopa asije kua salah, bruyne au lukaku mwingine,, lakini muda mwingine ukishindwa ku"unlock potential ya mchezaji ni bora umuachie aende..

Kwa mpira wa leo sub nzuri ingekua ya mtu kama giroud,, kwa crosses na kona zile naamin angefunga angalau goli moja..

Ila kuwategemea hawa watoto wakina abraham ambao wakikosa goli wanacheka hukh wakiwahi kuangalia cameras,, sidhani kama tutafika inapotakiwa

Men wins you a match sio hawa boys

Sent using Jamii Forums mobile app
Giroud sijui kama ni majeruhi au lah? Ila jamaa hajamtumia kabisa huu msimu except for few matches pale mwanzo. But aliperform vzr tu... Sijui shida nini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha
tapatalk_1576584101047.jpeg
 
Dah, yaani Tottenham alivyotoa droo nilijua mtakomaa mwendelee kuweka gape.

Anyway, kesho tunawasaidia kwa United.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom