Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 24,031
- 42,365
Si hao hao waingereza ndio waliocheza, mi nasubiria kwa hamu tutolewa top4 ili akili itukae sawa.Hicho kikosi kizur mbona vilishindwa kuleta matokeo kwenye game dhidi ya bournmouth n west ham
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki saa nyingine tunapitiliza na kujiona tunajua kuliko kochga na benchi lote la ufundiHicho kikosi kizur mbona vilishindwa kuleta matokeo kwenye game dhidi ya bournmouth n west ham
Sent using Jamii Forums mobile app
Liverpool fans walikuwa hivi hivi kuwaponda akina Milner na Henderson lakini ni hao hao ndio waliochangia kwenye mafanikio ya Liverpool sasaSi hao hao waingereza ndio waliocheza, mi nasubiria kwa hamu tutolewa top4 ili akili itukae sawa.
Hivi watu wanaosemaga kwa sasa larmpad tumuvilie huwa siwaelewi ujueWote hapa ni Shabiki wa Chelsea. Ndani ya ushabiki wa Chelsea, pia kuna ushabiki wa kocha na mchezaji.
Kwa mfano Barcelona kuna mashabiki wa Barcelona na zaidi kuna mashabiki wa Messi.
Ukija kwa Chelsea kuna mashabiki ambao hawakupenda ujio wa Lampard. Waliamini bado Lampard hajafikia uwezo wa kuifundisha Chelsea.
Hawa Mashabiki siku Lampard akipoteza mechi wanaamsha ile hasira yao kwake. Mfano yule shabiki ambaye juzi alimtukuna Lampard kabla hata mechi ya Burnley haijaanza.
Na shabiki wanaomchukia kocha watapinga chochote kocha anachokibuni na kupanga, ndio wanaosema kocha analeta uingereza.
Kuna mashabiki wanaopenda wachezaji, yeye mchezaji wake anaomshabikia asipocheza kama hana injury hakuewi mfano ni shabiki wa Ngolo Kante leo kwenye kikosi hamuoni anamuona Barley
Shabiki wa namna hii lazima amchukie Barkely na atasema uingereza unambeba.
Kuna mashabiki wanoshabikia timu, mbinu na falsafa ya kocha. Huu mfano unanigusa mimi, napenda sana timu iwe na mfumo kabambe unaotupatatia matokeo chanya, nampenda sana kocha anayebadilisha mbinu za mchezo kulingana na adui anavyocheza.
Mwisho kuna mashabiki wanaopenda timiu yao iwe na mastar wa viwango vya dunia. Sasa anavyoona kocha analeta academic players anachukia kweli. Wapo mashabiki wanatamani hata tumsajili Mbappe.
Kwahiyo shabiki anao uhuru wa kutoa mawazo yake kulingana na kile anachokiamini na kukishabikia. MWISHO WA SIKU WOTE TUNAITAKIA TIMU YETU MAFANIKIO MAKUBWA.
Kwa Lampard naomba tumvumilie amepewa timu imefungiwa usajili na mbaya zaidi HAZARD aliondoka.
Tumpeni Lampard asajili wachezaji wake dirisha hili la january na kiangazi. Uzuri wa Chelsea kocha akivurunda misimu 2 anatimuliwa.
Mimi nilipenda sana Lampard angebeba kombe la carabao na hili la FA azidi kupata CV na kuwajengea imani mashabiki ambao wana wasiwasi naye.
Sent using Cash Money Wings
hata mimi nasema hivi TUMUVUMILIE TU haina namna tumuvumilieHivi watu wanaosemaga kwa sasa larmpad tumuvilie huwa siwaelewi ujue
Kwani larmpad kafanya kosa gan hadi tumuvumilie?
Mlitaka ashike namba moja au?
Yaan mtu yuko top four na kusajili hajasajili alafu tena mnasema tumvumilie?
Huyo ni genius twende naye na tutembee kifua mbeleee siyo tumuvilie
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
hata mimi nasema hivi TUMUVUMILIE TU haina namna tumuvumilieHivi watu wanaosemaga kwa sasa larmpad tumuvilie huwa siwaelewi ujue
Kwani larmpad kafanya kosa gan hadi tumuvumilie?
Mlitaka ashike namba moja au?
Yaan mtu yuko top four na kusajili hajasajili alafu tena mnasema tumvumilie?
Huyo ni genius twende naye na tutembee kifua mbeleee siyo tumuvilie
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Super FL alikuwa mwamba top 10 yote yeye tu ndio kiungo what a performanceDuh LAMPARD amejitahidi sana kama MIDFIELDER kufunga magoli yote hayo. Basi atusajilie ATTACKING MIDFIELDER mzuri wa kuvaa viatu vyake Chelsea.View attachment 1321437
Sent using Cash Money Wings
Kwahiyo wao wanataka Chelsea iwe inashinda tu kila mechi?Wanaosema tumvumilie:- kwa mawazo yangu navyohisi kwamba labda kuna mechi tungetakiwa tushinde labda kwa wachezaji waliopangwa hawakwendana na mfumo au sub alizofanya Lampard zikapelekea kuzidiwa.
Hao ni mashabiki wanaomini Lampard bado mchanga kuwa kocha wa timu kubwa kama chelsea.
Ndio maana tunawajibu wamvumilie kochavl kwanza asajili wachazeji wake tukiamini yale Ambayo baadhi ya Mashabiki wanayataka yatatimizwa.
Sent using Cash Money Wings
Nakazia na mimi"TUMUVUMILIE"hata mimi nasema hivi TUMUVUMILIE TU haina namna tumuvumilie
Uyu jamaa M10 ingemtosha tu...Sema kwa sababu ni EPL bas day linapanda..