42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,914
We uzi wa wanaume unakatiza na khanga imelowa maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipeleka na nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipeleka na nani
Nyie ndio demu...... Mademu ndo wanabebwa na kuhongwa.... Ladies first...
Chelsea si salama kwa watu kama hawa....... Hataki kufuata nyayo za bakayoko..... Labda asenali angeshawishika
Ulipeleka na nani
Hujielewi,Siku zote hata mwanaume akimtongoza demu akimkosa ataanza kusingizia mara demu mwenyewe mbaya hana mvuto
ndo wewe sasa unafanana na aina hiyo ya wanaume umeshindwa kutufunga ulikuwa unaongoza kwa dk 83 na baada ya dk 90 umegongwa viwili unaanza kusema kuwa refa ametubeba
Mpira hauko hivyo unavyoonekana hauna ukomavu wa mpira Mbona umeshindwa kutufunga
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha dharau mkuu,sasa kwani wewe na westham mmetofautiana nini????Ukimuondoa Timo Werner na Jadon Sancho, wachezaji wengine ambao Chelsea inawafukuzia kama ni kweli ni caliber ya Westham, Newcastle sijui kwa nini
Unapata wapi jeuri ya kuchangia hapa????wewe bado upo eda.....huruhusiwi kutoka njeSasa unatangatanga kwenye nyuzi za wanaume, kisa juzi umeshinda
Akili za ass anal mnazijua wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kawaida yangu kupita humu... Au ulitaka nitulie kwenye jukwaa langu tu....zile pilipili kichaaaa mbili za juzi bado zinawashaaaaaSasa unatangatanga kwenye nyuzi za wanaume, kisa juzi umeshinda
Akili za ass anal mnazijua wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitoka ligue 1Atakuwa ana minyoo kichwani kuja kwenye hii arsenal ya sasa. Kwani Bakayoko alitoka Lyon?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujielewi,
Kwahiyo hao FA waliomwadhibu huyo refa kwa kosa la hiyo mechi nao hawana ukomavu wa kimpira????
Wewe unajua kuliko FA????
Yote ya yote game ilishaisha na matokeo yalishaonekana so hizi ni soga za kishabiki tu,wachezaji kazi yao kucheza na sisi mashabiki kuongea so ni kawaida tu.....
Hongera kwa ushindi mkuu,
Ninachoshukuru nimejipoza machungu kwa jitu fulani juzi...hapa nipo shwari kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha dharau mkuu,sasa kwani wewe na westham mmetofautiana nini????
Hahahahahahahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wanaotegemea huruma ya refa
Kama nilivyowafanya na kupendelewa kwenye EUROPA LEAGUE FINALUshindi wa Mashaka unapatikana kwa mtu aliyebebwa
Kama ulivyofanya kwa kuwafumua Manure,Bournmouth,Southampton,Everton hahahaaaaaaaa aiseeeeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Lyon kumtoa huyu jamaa sa ivi ni kazi sana ukizingatia Depay ana uguza majeraha na wachezaji wao wengi wa muhimu pia majeruhi hapo jumlisha pia wako UEFA wanacheza na Juve
Batshuayi ana miaka 26 huyu Dembele ana miaka 23. Batshuayi alikua mzuri alipokua Marseille ila alipokuja Chelsea akashindwa kugombania namba na kina Costa yaan mpaka hapo kesha prove failure.Mbona wachambuzi wengi wanasema BATSHUAYI ana kiwango bora kuliko huyu Dembele? Katika matop striker duniani Huyu jamaa 20 bora haingii.
Kuliko kumchukua huyu jamaa bora kumchukua Cavan wa Psg.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wachambuzi wengi wanasema BATSHUAYI ana kiwango bora kuliko huyu Dembele? Katika matop striker duniani Huyu jamaa 20 bora haingii.
Kuliko kumchukua huyu jamaa bora kumchukua Cavan wa Psg.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yale yalikuwa makosa ya kipenzi chenu Emery...... Sasa hivi tunaongea mengine
Nimekuja kumsalimia demu ninayetegemea kumuoa karibuniHuyu jamaa ametokea wapi? Unakwenda wapi? Baba yako anaitwa nani? Mama yako anaitwa nani? Una miaka mingapi? Umekula chakula? Unahitaji dume?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakukimbiza... ila alikuwa tu ana goals nyingi.... Sijui vyovyote utakavokuwa ila kwa Cavan dah noma sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mzee kumleta Dembele tunaongeza another batshuayi.
Kumbuka wakati tunamchukua Batshuayi alikuwa anakimbiza ligue 1 kwa kutupia mabao.
Bora tumchukue timo Werner aisee
Sent using Jamii Forums mobile app