Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndio maana tunataka tushushe engine, tufunge engine mpya

Sent using Jamii Forums mobile app

Nyinyi musijizonge! Tafuteni Kipa wa uhakika ambaye tayari ni proved na siyo kubahatisha kwa Kepa.

Tafuteni beki 1 wa kati ashirikiane na Rud.

Tafuteni FB ya kulia.

Tafuteni mbadala wa Willian

Then angalieni msimu ujao

Pia Nina wasiwasi na uwezo wa Kocha lakini kwa sasahivi wacha nizidi kumwangalia.
 
strikers wa kiwango cha juu currently.
Lewandosk, Aguero, mbape, lukaku, martnes, Vardy, Benzema, Immobile, werner, nk sidhani kama ni rahis kupata sign za watu wa kaliba hii kwenye dirisha la january otherwise kuwe na mazungumzo yaliokwisha endelea

kikubwa mchukueni samatta mumtengeneze sisi tutawasaidia kwenye golikipa tutawapa Adrian. undugu kufaana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lampard on poor possession play
“Centre back to centre back, full back to full back, back to centre back, back to full back and I don’t want to come and see that." Centre backs made 117 & 110 passes today. Abraham, Batshuayi, Willian, Pulisic, CHO and Mount made 97 between them
Sydrome ya Sarriball bado iko kwa wachezaji
 
Everton √
Bournemouth √
Tott ???
Gunnerz ???

Punguza uchawi bro
Krisimasi na mwaka mpya tutapita tukiwa top 4 ila chamtema kuni tutapata, kawaida huu mwezi ni mgumu kwa timu zilizokuwa likizo, hata Man city, Leicester city, watapoteana tu mwezi huu
 
Hapa kwa kocha si sawa... akifanya vizuri mnampongeza ila akifanya vibaya mnasema hana historia ya mafanikio... siyo sawa kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha ana sehemu yake hasa kwenye sub, sio mechi hii tu fuatilia mechi zote tulizofungwa second half, anatoa defender au MF anawajaza washambuliaji mbele kama ndio tactics ya kupata magoli kumbe anatoboa karai
 
Nakumbuka kwenye Game ya Liverpool vs Man City, Washabiki wa Chelsea waliiombea game hii iishe Kuwa Sare.

Lengo likiwa eti ni kupunguza Gape la point na Liverpool ili wamkaribie kwenye kuwania Ubingwa ha ha ha ha ha.

Hivi ni nini kilichowafanya mujiaminishe kuwa nyinyi ni Title contender?

Kweli vituko haviishi.
Mimi ni mmojawapo na kila mashabiki wa Chelsea alitaka hivyo ila sio kuwania ubingwa, kama hichi kikosi kikibaki hivi hivi labda msimu wa tatu ndio Chelsea itakuwa na sifa ya kuwania ubingwa, kwa kikosi hiki Lampard alitakiwa asipoteze Carabao na FA, sasa Karabao kashapoteza labda apambane na FA.
Wachezaji strategic wakisajiliwa January na Kiangazi tunaweza kuwa title contenders mwakani
 
Kuna timu za aina tatu kwenye EPL
  1. Timu za kuwania ubingwa - Title contenders -HIZI ZINAKUWA NA CONSISTENCY KWENYE KUCHEZA VIZURI
  2. Timu zinazowania UEFA na Europa League-HIZI HAZIWI NA CONSISTENCY KWENYE KUCHEZA VIZURI
  3. Timu zinazowania kubaki kwenye ligi-HIZI ZINAKUWA NA CONSISTENCY KWENYE KUCHEZA VIBAYA
No. 1 mfano wake ni Liverpool kwa mwaka jana na mwaka huu - Hapa hata Man city hayupoo, amekuwa naye hana consistency kwenye kucheza vizuri
No. 2 mfano ni hizo timu zlizobaki ukiondoa Liverpool na timu za namba 13-20 - Chelsea tumo hapa
No. 3 mfano wake ni hizo namba 13 hadi 20 kwenye msimamo wa ligi

NB tafsiri halisi ya consistency kwenye kucheza vizuri huwa inajulikana baada ya mechi za January
 
Jana nilicheki mechi nzima ya Liverpool na Watford, mpaka nikaamini kuwa leo Watford wanaosha, lakini ilipofika kwenye final third, ndio nikagundua tofauti ya timu ndogo na kubwa, ndipo nikagundua tofauti ya striker wakubwa na wale wadogo. Yaani strikers wa Watford wanakosa gozi utafikiri walikuwa wanacheza kitenesi kidogo. Kwa wale walioangalia mtaungana nami. Watfors walipata nafasi nyingi za wazi kuliko hata Liverpool lakini zote wakaziwaste.

Sisi Chelsea tuliposses 68% dhidi ya Bona kama vile Liverpool walivyoposses 68% dhidi ya Watford
Tofauti yetu na Liverpool hatuna wachezaji wenye uwezo wa kutengeneza nafasi
Tammy Abrahama ni mzuri kwenye penalty box na sio nje ya hapo, Pulisic ni mzuri kwenye kutengeneza nafasi sijui jana alikumbwa na nini!, Hatuna LB na RB wa kupanda hata Azpi bado ana udhaifu kwenye kupanda, Emerson ndio kabisa anataka kuiga ugonjwa wa Alonso, Zouma ni mzuri kwenye kucheza kwa haraka ila saa nyingine sijui anawaza mademu zake. kwa baadhi ya ocassion hana concetration uwanjani, mfano goli mla jana kulikuwa na wachezaji wawili akiwemo Zouma walimuona mfungaji akirudi nyuma kujiandaa kupokea mpira na hakuna hata mmoja aliyejali
For my opinion, at least kwa Januari tunahitaji
LB na FB wa kusaidiana na Rudiger
Tunahitaji striker
Kwa peza alizopewa Lampard zitatosha wachezaji wawili tu au mmoja
Kwa urgency asajiliwe LB na winger mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi, hiyo idara jana ilikufa kabisa, winger wazuri ndio watakaoiwezesha timu kucheza kwenye final third
 
Hichi kikosi kisibaki hivi hivi kinaumiza sana moyo. Kikosi kinahitaji maingizo mapya ya viwango vya juu na wazoefu.

Wachezaji waliopo kwa sasa wanaostahili kubaki 1st eleven ni:-

Rudiger
Kante
Pulisic
Kovacic
Joginho

Nafasi 6 zilizobaki zijazwe na maingizo mapya.

Na wachezaji wa sub ni:-

Keppa
Zouma
Tomori
James
Emerson
Mount
Abraham
Odoi
Lfc

Wachezaji wa kuuzwa:-

Azipuleta
Willan
Pedro
Giroud
Batshuayi
Alonso
Christensen
Barkely
Bakayoko
Drinking water
Victor Mosses
Zappacosta


Sent using Jamii Forums mobile app
Labda tukisajili striker bora Zaidi ya Abrahamu, ila kama haitakuwa hivyo, bado Tammy ni mzuri akipewa huduma ya mipira mizuri, jana timu haikuwa na creativity yeyote. Hata strikers kama akina Aguero usipomhudumia hafungi
Kazi kubwa ya kutengeneza nafasi wanaweza wingers ambao sijui jana walikuwa hawaonani au?
Akina Pulisic, Odoi baada ya kuingia, Willian ndio kazi yao kubwa kutengeneza nafasi na mikakati ya kuingia kwenye final third na baadaye kuzaa magoli. Striker kazi ya ke akipewa huduma ni kushoto tu na ndio maana striker wengi ukiondoa kujiposition vizuri huwa hawako mmoboli sana kama wingers akiwemo wide area winger kama alipokuwa anacheza Hazard pamoja na attacking MF kama alivyo Mount na Kante hao ndio wanatakuwa waipeleke timu kwenye final third
Mimi bado namtetea Tammy ila sikatai timu kumtafuta striker bora Zaidi kitu ambacho January ni impossible labda kama yupo mwenye mgogoro kwenye trimu yake
Kama Chelsea itafanikiwa kumchukua Jadon Sacho, na wakampata LB kwa January inatosha
 
Kweli mkuu tunahitaji wachezaji wapya 6 waingie moja kwa moja 1st eleven.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wachezaji 6 wa kawaida wa kuingia 1st 11 itahitaji Lampard apewe £300m unadhani itawezekana?

Hapo nimeweka kwa bei ya £50m kila mmoja ndiyomana nikawaita 'Wa Kawaida'.

Ukitaka Wachezaji wa maana kwa soko la sasa uanze na £65m na kuendelea.
 
Hatuna LB na RB wa kupanda hata Azpi bado ana udhaifu kwenye kupanda, Emerson ndio kabisa anataka kuiga ugonjwa wa Alonso,
Kwa urgency asajiliwe LB na winger mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi, hiyo idara jana ilikufa kabisa, winger wazuri ndio watakaoiwezesha timu kucheza kwenye final third
tarehe 9/12 (jumatatu) muheshimiwa King Ngwaba aliandika maneno yafuatayo kwa ufupi.
Reece bado hajaprove Kuwa ni beki wa kumtumainia! Still ana safari ndefu! Kibaya zaidi namhisi ni New version ya Aroan Wan Bissaka ambaye anajua only Kukaba na sio kushambulia na kucreate nafasi za kufunga, jambo ambalo ni old football.

akaendelea kuandika:
Unajua kwanini Man City ukiwabana watu 3 tu (KDB, Sterling na Bernardo) unawamaliza kiurahisi?
Kwasababu mipira yote wanategemea Midfielders katika kutengeneza mashambulizi. Fullbacks zao hazikovizuri kwenye kutengeneza nafasi, Only Mendy ndiyo FB wa Man City amabaye anauwezo wa kucreate nafasi.

Ni sawa na Chelsea, akipotezwa Joginho na Kovacic mechi kwenu inawawia ngumu coz Fullbacks zenu haziwezi kutengeneza nafasi.

Na hii ndiyo inayotusaidia Liverpool kushinda game mara kwa mara! Tuko very shit kwenye Midfield (Hendo-Fabinho-Gini) ambao wote kwa pamoja msimu mzima hawafikishi assists hata 7 lakini tunatetengeneza nafasi nyingi za kufunga kwa sababu ya Kuwa na Fullbacks ambazo ni nzuri kwa kushambulia na kutengeneza nafasi za kufunga.


muheshimiwa lembu mmoja kati ya mchangiaji anayenivutia kusoma comment zake humu ndani ulimjibu hivi:

Nikuulize swala, Kwani kwenye football wanaotengeneza chances ni mabeki au washambuliaji? Mimi nafikiri sio kazi ya TAA kutengeneza nafasi kule Liverpool bali ni akina Sala, Mane, Firmino na wengineo mbele watengeneze nafasi ili wapasiwe mipira na hao mabeki au viungo au hata kati yao washambuliaji wenyewe kwa wenyewe.
Au labda maana ya kutengeneza nafasi tunatofautiuana
Mimi kwa maoni yangu japo kazi ya kutengeneza nafasi ni mawasiliano ya wahusika kwenye move ila mshambuliaji ndio stakeholder mkubwa kwenye hili.


ni siku tano tu zimepita na hatimaye umerudi pale pale alipokua anapashikilia king ngwaba
 
Wachezaji 6 wa kawaida wa kuingia 1st 11 itahitaji Lampard apewe £300m unadhani itawezekana?

Hapo nimeweka kwa bei ya £50m kila mmoja ndiyomana nikawaita 'Wa Kawaida'.

Ukitaka Wachezaji wa maana kwa soko la sasa uanze na £65m na kuendelea.
Na kwa quality ya wachezaji hao sio rahisi kuwapata ndani ya msimu mmoja, hata Liverpool au Mancity hawakujenga timu kwa mkupuo hivyo
Mimi nadhani Chelsea kufanya vibaya sio tu tatizo la wachezaji wengi, anaweza kusajiliwa mchezaji strategic player mmoja au wawili wanaoendana na falsafa ya kocha timu yote ikabadilika kiajabu. Liverpool alipokuja VVD tu, one player timu nzima ikabadilika. Kama nakosea nikosoeni. Akija mchezaji mmoja kama VVD au wawili imu nzima itabadilika
 
tarehe 9/12 (jumatatu) muheshimiwa King Ngwaba aliandika maneno yafuatayo kwa ufupi.
Reece bado hajaprove Kuwa ni beki wa kumtumainia! Still ana safari ndefu! Kibaya zaidi namhisi ni New version ya Aroan Wan Bissaka ambaye anajua only Kukaba na sio kushambulia na kucreate nafasi za kufunga, jambo ambalo ni old football.

akaendelea kuandika:
Unajua kwanini Man City ukiwabana watu 3 tu (KDB, Sterling na Bernardo) unawamaliza kiurahisi?
Kwasababu mipira yote wanategemea Midfielders katika kutengeneza mashambulizi. Fullbacks zao hazikovizuri kwenye kutengeneza nafasi, Only Mendy ndiyo FB wa Man City amabaye anauwezo wa kucreate nafasi.

Ni sawa na Chelsea, akipotezwa Joginho na Kovacic mechi kwenu inawawia ngumu coz Fullbacks zenu haziwezi kutengeneza nafasi.

Na hii ndiyo inayotusaidia Liverpool kushinda game mara kwa mara! Tuko very shit kwenye Midfield (Hendo-Fabinho-Gini) ambao wote kwa pamoja msimu mzima hawafikishi assists hata 7 lakini tunatetengeneza nafasi nyingi za kufunga kwa sababu ya Kuwa na Fullbacks ambazo ni nzuri kwa kushambulia na kutengeneza nafasi za kufunga.


muheshimiwa lembu mmoja kati ya mchangiaji anayenivutia kusoma comment zake humu ndani ulimjibu hivi:

Nikuulize swala, Kwani kwenye football wanaotengeneza chances ni mabeki au washambuliaji? Mimi nafikiri sio kazi ya TAA kutengeneza nafasi kule Liverpool bali ni akina Sala, Mane, Firmino na wengineo mbele watengeneze nafasi ili wapasiwe mipira na hao mabeki au viungo au hata kati yao washambuliaji wenyewe kwa wenyewe.
Au labda maana ya kutengeneza nafasi tunatofautiuana
Mimi kwa maoni yangu japo kazi ya kutengeneza nafasi ni mawasiliano ya wahusika kwenye move ila mshambuliaji ndio stakeholder mkubwa kwenye hili.


ni siku tano tu zimepita na hatimaye umerudi pale pale alipokua anapashikilia king ngwaba
Bado maoni yangu ni yale yale, wanaotenegenza nafasi ni washambuliaji ambao ni wingers na attacking MF, mabeki wakiziona hizo nafasi wanapeleka mipira huko. Hayo ndio maoni yangu na kama unakosoa, kosoa katika muktadha huo
 
tarehe 9/12 (jumatatu) muheshimiwa King Ngwaba aliandika maneno yafuatayo kwa ufupi.
Reece bado hajaprove Kuwa ni beki wa kumtumainia! Still ana safari ndefu! Kibaya zaidi namhisi ni New version ya Aroan Wan Bissaka ambaye anajua only Kukaba na sio kushambulia na kucreate nafasi za kufunga, jambo ambalo ni old football.

akaendelea kuandika:
Unajua kwanini Man City ukiwabana watu 3 tu (KDB, Sterling na Bernardo) unawamaliza kiurahisi?
Kwasababu mipira yote wanategemea Midfielders katika kutengeneza mashambulizi. Fullbacks zao hazikovizuri kwenye kutengeneza nafasi, Only Mendy ndiyo FB wa Man City amabaye anauwezo wa kucreate nafasi.

Ni sawa na Chelsea, akipotezwa Joginho na Kovacic mechi kwenu inawawia ngumu coz Fullbacks zenu haziwezi kutengeneza nafasi.

Na hii ndiyo inayotusaidia Liverpool kushinda game mara kwa mara! Tuko very shit kwenye Midfield (Hendo-Fabinho-Gini) ambao wote kwa pamoja msimu mzima hawafikishi assists hata 7 lakini tunatetengeneza nafasi nyingi za kufunga kwa sababu ya Kuwa na Fullbacks ambazo ni nzuri kwa kushambulia na kutengeneza nafasi za kufunga.


muheshimiwa lembu mmoja kati ya mchangiaji anayenivutia kusoma comment zake humu ndani ulimjibu hivi:

Nikuulize swala, Kwani kwenye football wanaotengeneza chances ni mabeki au washambuliaji? Mimi nafikiri sio kazi ya TAA kutengeneza nafasi kule Liverpool bali ni akina Sala, Mane, Firmino na wengineo mbele watengeneze nafasi ili wapasiwe mipira na hao mabeki au viungo au hata kati yao washambuliaji wenyewe kwa wenyewe.
Au labda maana ya kutengeneza nafasi tunatofautiuana
Mimi kwa maoni yangu japo kazi ya kutengeneza nafasi ni mawasiliano ya wahusika kwenye move ila mshambuliaji ndio stakeholder mkubwa kwenye hili.


ni siku tano tu zimepita na hatimaye umerudi pale pale alipokua anapashikilia king ngwaba
Hello Daemusin
Haya maoni niliyaleta kwa mfumo wa maoni kwa maana kwamba nina elimu ndogo kwenye kujua uhalisia wa kutengeneza nafasi (creating chances) hasa ina maana gani. Nikipata uelewa mkubwa zaidi nitaboresha mchango wangu. Lakini kwa sasa bado naamini kuwa mshika dau mkubwa kwenye kutengeneza nafasi ni yule aliyeko mbele, huyu wa nyuma ni mdau mdogo kwa sababu process nzima ya kutengeneza nafsi ni mawasiliano ya watu wawili au watatu au saa nyingine wane ili move ya kufunga goli ifanikiwe lazima mmoja aanze kutengenza box, process ikaendelea kwa mfumo huo. Kwa hiyo kuna mawasiliano ambayo ni element kubwa kwenye kutengeneza nafasi. Mimi sio mtaalamu wa mpira uzoefu ni kwa kuangalia na kufuatilia tu. Kuna waliosomea humu labda wao wakiona haya mazungumzo wataboresha
 
Hizi mechi tunazofungwa alaumiwe kocha kwa kuendelea kutest team badala ya kusubiri FA akatest team huko. Wee unamuondoa Jorginho ili umuweke Odoi tangu lini, mtu anayegawa mipira kwa adui kama Kepa!. Unamuondoa Willian ili umueweke Batsuayi? Angemuondoa Mount na kumweka Kovacic
Hata tukisajili kocha asipomaitain first XI tutakunywa sana tu
Inabidi ukawe kocha wewe aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lampard on Zaha, Chilwell and Ake.
When asked about the club’s interest in those three players, Lampard said on Friday afternoon:
‘We want a top calibre of player who can improve us.
‘I won’t hone in on those three but I’ve said before I’m happy with the squad. We have to look [at signing players] if we can. ‘It is a joint-effort with the scouting teams, the board, the owner, myself. We work together.
Hivi ndivyo kocha wa Chelsea anavyopaswa kuongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom