42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Mmeanza kuwa kama man u game kubwa mnakamia sana
Jumapili karibu emirates kwenye mikono salama ya Arteta
HahahahahahahahahWe changiachangia tu hizi siku mbili maana ikifika hiyo jumapili hutoweza kuingia tena humu ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahiv mechi za nyumba zimekuwa ngumh kweli kwetu
OK tutaona ,tusubiriWe changiachangia tu hizi siku mbili maana ikifika hiyo jumapili hutoweza kuingia tena humu ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Arsenal ajaribu kupiga vipasi hawezi njia rahisi kuifunga Chelsea ni kuzuia ukifanya counter ,uwezo wa Chelsea Ku possess game ni mkubwa sana kuliko Arsenal hata wewe unalijua hilo ,guardiola kwenye possession alizidiwa , mtoto wake Arteta atafanya kipi? Arsenal wakituvizia na kutumia makosa ya inexperience ya Zuma na tomori watapata point 1OK tutaona ,tusubiri
I believe in Arteta ball ,
Arteta anapiga pass hadi utakimbiaNdugu Arsenal ajaribu kupiga vipasi hawezi njia rahisi kuifunga Chelsea ni kuzuia ukifanya counter ,uwezo wa Chelsea Ku possess game ni mkubwa sana kuliko Arsenal hata wewe unalijua hilo ,guardiola kwenye possession alizidiwa , mtoto wake Arteta atafanya kipi? Arsenal wakituvizia na kutumia makosa ya inexperience ya Zuma na tomori watapata point 1
Chelsea huwezi kumfunga kwa pass njia pekee ya kumfunga ni kuwa well organized na counter attack pekee.Arteta anapiga pass hadi utakimbia
Utaniambia kesho,
Arteta anapiga pass hadi utakimbia
Utaniambia kesho,
Sasa ivi unapata nguvu kuja hukuArteta anapiga pass hadi utakimbia
Utaniambia kesho,
James kesho hachezi![]()
Sasa mkuu 4-3-3
Pulisic - Tammy - Willan
Kovacic - Joginho - Kante
Emerson/Azipuleta - Tomori- Rudger- James/ Azipuleta
Sent using Jamii Forums mobile app
Akipiga 3-4-3 kama ya totte tutashinda mechi endapo atawapanga Alonso, Pulisic/Mount, Kovacic, Kante, Tammy, Willan, Tomori, Rudger, Azipuleta
Sent using Jamii Forums mobile app







Pale kwenye Pulisic ondoa weka MountHii mechi Lampard sijui atakuja na mfumo gani na wachezaji gani. Unashindwa hata kupredict matokeo.
Hii mechi nadhani aje na 3-4-3. Na sio 4-3-3. Mfumo wa 4-3-3 lazima atampanga yule kilaza Emerson au Azipiculeta ahamie kushoto. Na huu mfumo ukimpanga Alonso mzito kwenye kukaba kuliko kushambulia.
Mfumo wa 3-4-3 ampange:-
Pulisic - Tammy - Willan
Alonso - Kovacic - kante - Azipuleta
Tomori - Rudger - Zouma.
Sent using Jamii Forums mobile app