Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Reece kapata majeraha ya ankle kwenye mazoezi siku ya Krismasi, kwa hiyo hatacheza leo
Alonso naye yuko hatihati kwa sababu ya majeraha ya misuli
 
Ngolo Kante aliwekwa frontline kwa sababu ya uwezo wake wa kukimbia na mpira kama Kovacic na pia uwezo wake wa kuintecept
Sasa imepita Zaidi ya miezi 18 kuanzia Enzi za Sarri mpaka sasa ana rekodi mbaya ya kufunga na kuassist je aendelee kuwepo huko m,bele au arudishwe nyuma
Baadhi ya mashabiki wanadai Jorginho aende mbele na Kante arudi kwenye kudefend kwa sababu uwezo wake wa kusoma mpira na kukata umeme ni mkubwa
Mnasemaje wadau wa Chelsea?
 
Ngolo Kante aliwekwa frontline kwa sababu ya uwezo wake wa kukimbia na mpira kama Kovacic na pia uwezo wake wa kuintecept
Sasa imepita Zaidi ya miezi 18 kuanzia Enzi za Sarri mpaka sasa ana rekodi mbaya ya kufunga na kuassist je aendelee kuwepo huko m,bele au arudishwe nyuma
Baadhi ya mashabiki wanadai Jorginho aende mbele na Kante arudi kwenye kudefend kwa sababu uwezo wake wa kusoma mpira na kukata umeme ni mkubwa
Mnasemaje wadau wa Chelsea?

Hili sio swali la kuuliza! Ukweli upo wazi kuwa Ngolo Kante ni Natural Defensive Midfielder, kwahiyo ukimuhamisha hapo kwenye hiyo position basi unampotezea muda tu na kutumia vibaya kipaji chake.
 
Lampard sio kocha hawezi kupanga team Wala mbinu mbadala Hana mpk leo Chelsea first eleven haijulikani ligi imeshafika katikati tatizo lake ameweka Sana undugu kwenye team anapenda Sana ndugu zake waingereza wote wacheze wale wachezaji wa maana anaweka nje

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kocha lakini tupo top 4 angekuwa kocha basi angekuwa hatari sana na tungeongoza 30points ahead of Liverpool
Anapanga Ndugu zake hata akina Willian, Tammy yule mmakonde, Tomori Rudiger, Kovacic, Jorginho, Kante, Azpi, Emerson ni Ndugu zake
We ulitaka ampange Batshuayi badala ya Tammy au Billy Gimour badala ya Mount AU?
Angekuwa na undugunization kila mechi Barkley angeaza badala ya Kovacic, Jammie Cumming angeanza badala ya Kepa. Mechi na Sounthampton aliumuacha Mount Ndugu yake team ikapwaya au wewe hukuangalia hiyo mechi nini?
Madhaifu ya kocha msiongeze chumvi na kumbapingikizia makossa yasiyokuwepo mara ana undugunization wapi na wapi
Saa nyingine mnapoandika muwa na akiba ya maneno
 
Arsenal sio top 4 contender any more
Wanaowania top for ni timu 7 tu ukiwaondoa Liverpool
  1. Leicester city
  2. Man city
  3. Chelsea
  4. Man United
  5. TOT
  6. Wolves
  7. Sheffield United
 
Mashabiki wengi wa chelsea, wameweka matarajio makubwa sana kwa chelsea kuliko uwalisia.

Kweli ni kuwa chelsea msimu huu ikimaliza hata top 10, imejitahd, matarajio ya chelsea msimu ni kuhakikisha timu walau inacheza ueropa kulingana na matatzo yaliyopata, mwanzo wa msimu

Uwezi kuwa na wachezaji wadogo, ambao hawana uzoefu wa ligi na miki miki ya ligi, ukategema eti timu yako uchukue ubingwa au umalize top 4.. kama ikitokea hvyo hapo tunasema tumezid malengo

Mimi kwangu lampard kajitahd sana, na sizan kama kuna kocha mwingine angefikia top 4, kwa wachezaji wale..

Msimu hujao ndio inapaswa kumlaumu lampard, lakn kwa msimu huu tumuache kwanza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya sajili za January. Tutapita picha ya top 4. Ila binafsi nauhakika top 3 itabaki hiyo hiyo:-

1. Liverpool
2. Man city
3. Leicester

Wolves atamaliza ndani ya top 6.

Chelsea, man u & Totte mmojawapo anamaliza top 4.



Sent using Jamii Forums mobile app

January si rahisi kuwa na usajili wa uhakika unless umsajili mchezaji aliyeisusia Timu baada ya kumfuata kwa muda mrefu kama VVD to Liverpool and Coutinho to Barcelona.
 
Dah Alonso hayupo hata Sub naona bado hajapona....
EM9Lf2TXUAAi1TK.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom