Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii mechi imenivuruga hapa mtu akinisemesha chochote natembeza makofi tu
Hahahahah naona hasira zako zote zimeishia katika ugali
1922444_730272750355564_338376119938615805_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lampard anakera sana aisee,,

Anatafuta sana huruma ya mashabiki,, kung"ang"ania waingereza wenzie..

You can't change your winning team,, nakumbuka Conte alifungwa gemu mbili za mwanzo aka"switch baada ya hapo hakuwai kubadili badili vitu kama huyu lampard..

Gemu zaidi ya 20,, hajui nani anastahili aanze na nani anatakiwa awe sub....


Odoi ubishoo mwingi sana, goli la kwanza kachomesha ...

Emerson not good in attacking kabisa, hauwezi mfumo wa wing back

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lampard ni ZWAZWA, hivi inakuaje anahangaika na vikosi vipya kila siku?! kocha gani hajui kufanya sub. hata mimi wa huku kwa mtogole naona wa kumfanyia sub. lakini yeye haoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom