Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dah basi mgt imeturudisha nyuma kimafanikio.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyeirudisha nyuma Chelsea ni yule mnigeria emenelo huyu ndio aliyewasajili Barkley,drink water,zappacosta,bakayoko na sasa hivi hayupo Tena kwenye uongozi mbona Kuna sajili zimefanywa na uongozi zilikuwa bomba hasa na yule mama mrusi pamoja na abramovich mfano wa sajili ni Hazard, osca, mata, anelka, j Cole, kante,A.cole,makelele.
 
Umeongea uongo na kinafki kabsa.... hao wachezaji wazuri wote uliowataja kawasajili eminelo, na hao wa bovu kawasajili huyo mama..

Eminelo ni director mzuri sana kuwahi kutokea chelsea,kaleta wachezaji wazur sana kama drogba,essien, hazard.. lakn huyo mama ndio katulete wakina bakayoko

Mimi cjaelewa nyinyi mpira mmeanza kushabikia lini au mlikiwa mnaadisiwa
Aliyeirudisha nyuma Chelsea ni yule mnigeria emenelo huyu ndio aliyewasajili Barkley,drink water,zappacosta,bakayoko na sasa hivi hayupo Tena kwenye uongozi mbona Kuna sajili zimefanywa na uongozi zilikuwa bomba hasa na yule mama mrusi pamoja na abramovich mfano wa sajili ni Hazard, osca, mata, anelka, j Cole, kante,A.cole,makelele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea uongo na kinafki kabsa.... hao wachezaji wazuri wote uliowataja kawasajili eminelo, na hao wa bovu kawasajili huyo mama..

Eminelo ni director mzuri sana kuwahi kutokea chelsea,kaleta wachezaji wazur sana kama drogba,essien, hazard.. lakn huyo mama ndio katulete wakina bakayoko

Mimi cjaelewa nyinyi mpira mmeanza kushabikia lini au mlikiwa mnaadisiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo ujui kitu unafikiri sababu zipi zilizosababisha emenelo ajiuzulu?
 
Chelsea wanamtaka Isco na wametoa ofa hii hapa
Chelsea slapped in a £44.4m (€52m) offer for the Spain international on Monday.
Mnapenda vya bwerere,yani isco mumpate kwa hyo hela mwezi huu? Au amebakisha miezi sita kwenye mkataba?
 
Uwoga wa bure tu!, hao tot pia ni weupe tu. Game ya leo itanategemea na jinsi lampard atakavyopanga kikosi, chelsea ni wazur sana sema kocha tu ndio kiazi. Usije ukashangaa hao tot wakaoga magoli hat manne.
Kwo lampard ashakuwa kiazi sa hv mashabiki siku zote hamlizikagi..... Lampard anaipeleka vizuri sana timu yenu kama hujui.... Sasa nyie nengenekeni mumfukuze kazi... Ndo mtajua hamjui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie nao leo mjikaze, siyo kila siku mnafungwa ninyi tu.

Nawakumbusha kwamba mkifungwa leo Top4 bye bye.
 
Sisi Man U tunatamani ligi yote tungecheza na Chelsea tu. Nawahakikishia tungebeba ubingwa kwa alama 114
 
Mi nasubiri kuweka kile kibonzo cha Oyaaa amkeni! amkeni! wamefungwa tena bwana, uuuuwiiii ha ha ha ha ha!!
 
Uwoga wa bure tu!, hao tot pia ni weupe tu. Game ya leo itanategemea na jinsi lampard atakavyopanga kikosi, chelsea ni wazur sana sema kocha tu ndio kiazi. Usije ukashangaa hao tot wakaoga magoli hat manne.
Sio chini ya lampard
 
Uwoga wa bure tu!, hao tot pia ni weupe tu. Game ya leo itanategemea na jinsi lampard atakavyopanga kikosi, chelsea ni wazur sana sema kocha tu ndio kiazi. Usije ukashangaa hao tot wakaoga magoli hat manne.
Mkuu huu ujasiri ni wa juu sana Ngoja nijaribu kukuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom