Nyie si ndio mlikuwa mnaomba msifunguliwe kutoka katika ban yenu!!!!!!Man u wanamchukua Erling Haaland
Liverpool wanamchukua Takumi Minamino
Chelsea tunamchukua nani?
Na hao wote ni first11 moja kwa moja.....lakini kuna viumbe walijiaminisha kuwa hakuna tatizo na hakuna haja ya kusajiri maana kina Mount wanatosha.MAGAP CHELSEA
Gap la Hazard
Gap la Fabrigas
Gap la Ashley Cole
Gap la Azipuleta (Akiwa moto)
Gap la Lampard
Gap la Terry
Gap la super sub striker Anelka (Mapungo)
Gap la Peter Chech
Tunatakiwa tusuke chelsea mpya. Kikosi kilichopo sikioni kikichukua ubingwa mbele ya Liverpol na Man city.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika wachezaji wote wanaocheza nafasi ya isco hakuna hata mmoja mwenye uwezo Kama wa isco.Ila mimi sidhani kama tunamhitaji Isco kwa namba yake au kwa caliber yake. Tunahitaji winger na LB, ela ikitosha tupate striker
RLC tunaye, kapona, Mount tunaye yuko fit, Kovacic yupo yuko fit, sijawataja akina ross hapo tunapoteza pesa wakati kuna strategic areas zinahitaji wachezaji wa pesa kubwa
Hapo attack midfielder ni mmoja tu ni mount hao wengine wote ni winga nikusahihishe kidogo je mount anamfikia kiuwezo isco?Chelsea Attaching midfielders
Willan
Odoi
Pedro
Pulisic
Mount
Chelsea tuache utani tusajili wachezaji wa kutupa makombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo kwanini sasa unapinga usajili wa isco
Uzuri wa Isco ni kitu gani, kukaa na mpira sana, hawezi kuhurt opposition. Kama hatutanii basi tumtafute attacking MF caliber ya Lampard tuachane na ndoto kwamba Isco atakuja kubadilisha ushambuliaji wa Chelsea. Kati ya Isco na Mount mimi ningemchagua Mount 10X
Hatuna shida na MF kama tunataka kutumia vizuri resourses zilizopo, tuhangaike na wingas, striker na mabekiKama ni hivyo kwanini sasa unapinga usajili wa isco
Uzuri wa Isco ni kitu gani, kukaa na mpira sana, hawezi kuhurt opposition. Kama hatutanii basi tumtafute attacking MF caliber ya Lampard tuachane na ndoto kwamba Isco atakuja kubadilisha ushambuliaji wa Chelsea. Kati ya Isco na Mount mimi ningemchagua Mount 10X
Mount ana miaka 20 tu na kibindoni ana magoli 5, mwisho wa msimu anaweza fikisha 10
Isco kwenye peak season yake ana goli 10 akiwa na miaka 24 baadaye goli 7 akiwa na miaka 25 hiyo peak season imeisha hatutegemei Isco kurudi kwenye peak tena na sasa ana miaka 27. Sasa yeye ni wa magoli 3 kwa season nzima hata assists zake hasizidi 3 kwa msimu
Kiukwel sizani hii game nitaangalia tatizo lampard mbinu Hana na sub zake za kipuuzi mfano game ya Everton sub ilitakiwa iwe ya mount pekee yeye kamtoa jorginho kambakisha mount kosa lingine kamtoa willian kamuingiza bishoo odoi.Ina maana leo tunampa morinyo POINT 3 kiroho safi. Nafuatilia page za Chelsea insta na facebook naona mashabiki wamekata tamaa mechi na tote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha tutaona mengi sanaAaaaaah kumne ni wapiga nyetoh hahahahahahaha ndio maana dah......View attachment 1299812
Sent using Jamii Forums mobile app
Everton ya jana ni ile mbovu sio ile iliyocheza na Chelsea. No morale, no pressing. Arsenal walicheza kawaida yao. Laiti Everton wangeweka aggressiveness kidogo kukaribia ile waliotuwekea, Arsenal wangefungwa mengi tu janaArsenal jana imepanga watoto wakatoa draw na Everton. Sisi full mkoba tunafungwa na Everton. Ina maana Chelsea ni mbovu kuliko Arsenal ya watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata pesa zote zikiisha, huu usajili ni wa muhimu mno. Winga mwenye uwezo wa kukupa mabao 15 na assists 15 ni moto wa kuotea mbali. Hata Hazard pamoja yeye hakuwa winga lakini nafasi yake ni kama tu winga alikuwa hafikii hiyo rekodiIle £150M iliyotengwa ya usajili january ukitoa 120 ya sancho. Tunabakiwa na 30.
Bado kusajili beki wa kati, beki wa kushoto, stiker. Tunapungufu ya kama £ 150M
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika list hiyo ni mchezaji mmoja tu aliyesajiliwa na kocha ambaye ni ALONSO alisajiliwa na CONTE the rest wamesajiliwa na uongozi hasa kipindi Cha uongozi wa emenelo yule mnigeria.Utaratibu wa usajili ukoje?
Ni kocha anapendekeza majina ya wachezaji wa kusajiliwa?
Au management ya timu inasajili wachezaji kulingana na falsafa ya timu au uhitaji wa nafasi flani? au wanavutiwa na mchezaji mkali?
Nimeuliza hivyo kwa sababu nataka kufahamu hawa wachezaji nani alipendekeza wasajiliwe?:-
DRIKNKING WATER
ZAPPACOSTA
BARKELY
BAKAYOKO
ALONSO
EMERSON
GIROUD
BATSHUAYI
KEPPA
Kama JIBU ni kocha mwenye jukumu la kusajili aina ya wachezaji anaowataka kwanini management inamkubalia kusajili wachezaji wenye viwango duni kupekea kugharimu timu na kuturudisha nyuma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na mahusiano yaliyopoUtaratibu wa usajili ukoje?
Ni kocha anapendekeza majina ya wachezaji wa kusajiliwa?
Au management ya timu inasajili wachezaji kulingana na falsafa ya timu au uhitaji wa nafasi flani? au wanavutiwa na mchezaji mkali?
Nimeuliza hivyo kwa sababu nataka kufahamu hawa wachezaji nani alipendekeza wasajiliwe?:-
DRIKNKING WATER
ZAPPACOSTA
BARKELY
BAKAYOKO
ALONSO
EMERSON
GIROUD
BATSHUAYI
KEPPA
Kama JIBU ni kocha mwenye jukumu la kusajili aina ya wachezaji anaowataka kwanini management inamkubalia kusajili wachezaji wenye viwango duni kupekea kugharimu timu na kuturudisha nyuma?
Sent using Jamii Forums mobile app