Ingekuwa maoni yangu tungesajilki winga caliber ya Sacho na striker wa kumsub tammy, kama pochi ikitosha wa tatu tuweke LB word class kama akina Ashley cole kule kulia Azpi na Reece wanaweza kuimudu
Nimesema hivi kwa sababu tuna shida kubwa kwenye final third hata kocha kilio chake kikubwa ndio hiyo na hata wakifika mara chache hawana madhara, shots nyingi zinapotea bila ya kuwa converted kwenye magoli. Pulisic ni winga mzuri ila udhaifu wake mkubwa ni kwenye stamina, akija Sacho akicheza kulia, Willian arudi kushoto wachangamshane na Pulisic. Na kule kulia Sacho na Odoi nao wapambane. Odoi muda mfupi ujao, may be season moja akipewa mechi nyingi atazoea na kuwa winmga mzuri, Sasa Odoi ana stamina sana na mBio ila NOT clinical kwenye touch na passing zake hata kwenye shots golini bado. Naona anajitahidi tu kwenye long balls na crossing
Lazima tupate mtu wa kuziba pengo la hazard japo kwa muda tu.... Pia tupate striker na beki ya kulia....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Terry alikuwa na Kadi nyekundi ambayo aliipata kwenye match ya nusu fainali second leg vs Barcelona... Ila alikuwa mzima kabisa...
Cha kushangaza hata Ivanovic, Terry na Essien hawakucheza kwenye hiyo fainali. Terry na Ivanovic hawakuwepo kabisa nafikiri walikuwa majeruhi, Essien alianzia bechi
  1. Petr Cech;
  2. Ashley Cole,
  3. David Luiz,
  4. Gary Cahill,
  5. Jose Bosingwa;
  6. Frank Lampard,
  7. John Obi Mikel;
  8. Ryan Bertrand,
  9. Juan Mata,
  10. Salomon Kalou;
  11. Didier Drogba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kushangaza hata Ivanovic, Terry na Essien hawakucheza kwenye hiyo fainali. Terry na Ivanovic hawakuwepo kabisa nafikiri walikuwa majeruhi, Essien alianzia bechi
  1. Petr Cech;
  2. Ashley Cole,
  3. David Luiz,
  4. Gary Cahill,
  5. Jose Bosingwa;
  6. Frank Lampard,
  7. John Obi Mikel;
  8. Ryan Bertrand,
  9. Juan Mata,
  10. Salomon Kalou;
  11. Didier Drogba.
Hivi Raul Meireles hakuwepo?
 
Mkuu sio kwa hii timu ya watoto wa akina Mount, Pulsic, Tammy na Tomopri labda tuwaotee kwa suprise. Tukicheza normal football tutafanywa kama ya Tottenham
Mkuu sijui ni mbinu gani Lampard atatumia ila kitu cha kujua ni kwamba Bayern wana safu kali ya ushambuliaji kama ilivyokua kwa Liverpool na hii game kinachotafutwa ni magoli. Cha kuhakikisha kabla hawajatufunga tuwafunge kwanza. Kama tuliweza zile dakika 120 game ya Liverpool Super Cup kwa hawa jamaa tunashindwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Katika hiki kipindi cha Lampard moja ya wachezaji wewnye umuhimu hata asipofunga magoli ni Willian
Ni Willian na Kova pekee wenye uwezo wa kwenda deep kwenye final third wakitokea nyuma. Pulisic anajaribu lakini hana stamina, hao wengine ndio usiseme. Akiondoka pale Willian, Odoi hataweza kuvaa viatu vyake labda aje Sacho. Wasiwasi wangu kwa Willian ni moja tu, akipewa mkataba mkubwa Katika umri huu wake anaweza kuacha kujituma na akaishia kula mshahara wa bure akiwa benchi. Nawasiwasi anajituma sasa hivi ili kuvutia management wampee mktaba mrefu wa miaka miwili. Hiyo ndio worry yangu na nafikiri hata management wana hiyo hiyo worry
Mkuu mimi Willian nilishamfuatilia akisha sign mkataba huwa anapumzika lakini akikaribia kusign anajituma kichizi. Sitegemei jipya kwa Willian hata asign miezi mitatu hana cha ku offer kwa Chelsea ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tuone usajiri wa january
Mkuu sijui ni mbinu gani Lampard atatumia ila kitu cha kujua ni kwamba Bayern wana safu kali ya ushambuliaji kama ilivyokua kwa Liverpool na hii game kinachotafutwa ni magoli. Cha kuhakikisha kabla hawajatufunga tuwafunge kwanza. Kama tuliweza zile dakika 120 game ya Liverpool Super Cup kwa hawa jamaa tunashindwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sijui ni mbinu gani Lampard atatumia ila kitu cha kujua ni kwamba Bayern wana safu kali ya ushambuliaji kama ilivyokua kwa Liverpool na hii game kinachotafutwa ni magoli. Cha kuhakikisha kabla hawajatufunga tuwafunge kwanza. Kama tuliweza zile dakika 120 game ya Liverpool Super Cup kwa hawa jamaa tunashindwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
kujipa moyo.......


chelsea lazima achezeshewe za kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Feb 8: Chelsea vs Man u
Feb 22: Chelsea vs Spurs
Feb 25: Chelsea vs Bayern
Feb 29: Bournemouth vs Chelsea
March 7: Chelsea vs Everton
March 14: Aston Villa vs Chelsea
March 18: Bayern vs Chelsea
March 21: Chelsea vs Man City

*there's on the mountain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Feb 8: Chelsea vs Man u
Feb 22: Chelsea vs Spurs
Feb 25: Chelsea vs Bayern
Feb 29: Bournemouth vs Chelsea
March 7: Chelsea vs Everton
March 14: Aston Villa vs Chelsea
March 18: Bayern vs Chelsea
March 21: Chelsea vs Man City

*there's on the mountain

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa fixture kama hii kina Mount, James, Tomori watalazimika kukua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2012
Screenshot_20191216-193227_1576517159743.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom