msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,713
- 8,855
Mapema tu mnatolewa nyie
Nilishaongea sana kuhusu Willian hatusaidii chochote eatu wakawa wanasema eti unataka afunge magoli? Sasa najiupiza katika mechi hizo xote tulizofungwa kafsnya nini cha maana?Hichi kikosi kisibaki hivi hivi kinaumiza sana moyo. Kikosi kinahitaji maingizo mapya ya viwango vya juu na wazoefu.
Wachezaji waliopo kwa sasa wanaostahili kubaki 1st eleven ni:-
Rudiger
Kante
Pulisic
Kovacic
Joginho
Nafasi 6 zilizobaki zijazwe na maingizo mapya.
Na wachezaji wa sub ni:-
Keppa
Zouma
Tomori
James
Emerson
Mount
Abraham
Odoi
Lfc
Wachezaji wa kuuzwa:-
Azipuleta
Willan
Pedro
Giroud
Batshuayi
Alonso
Christensen
Barkely
Bakayoko
Drinking water
Victor Mosses
Zappacosta
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa tukienda kwa mipango huyu jamaa tunamtoaUEFA HATUA YA 16 BORA TUMEPANGWA NA BAYERN MUNICH.
Historia ya mwaka 2012 itajirudia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauzi lakini tumvumilie. Ndio maana nikasema Kocha bado anatest starting XI kwenye ligi badala ya kusubiri FAHivi kweli kweli? kocha haoni kwamba partinership ya Kante, Jorginho na Kovasic inaleta matokeo positive, wakiwepo hao hat wachezaji wengine utaona wanaperform, wasipokuwepo kila mchezaji utamuona anarukaruka tu, kinachomsumbua huyu kocha ni kulazimisha waingereza wenzake wacheze .........
Mkuu sio kwa hii timu ya watoto wa akina Mount, Pulsic, Tammy na Tomopri labda tuwaotee kwa suprise. Tukicheza normal football tutafanywa kama ya Tottenham
Mkuu Katika hiki kipindi cha Lampard moja ya wachezaji wewnye umuhimu hata asipofunga magoli ni WillianNilishaongea sana kuhusu Willian hatusaidii chochote eatu wakawa wanasema eti unataka afunge magoli? Sasa najiupiza katika mechi hizo xote tulizofungwa kafsnya nini cha maana?
Willian wa kuuzwa sema Lampard nilisikia anataka board imuongezee mkataba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa timu hii ni ngumu kujirudiaUEFA HATUA YA 16 BORA TUMEPANGWA NA BAYERN MUNICH.
Historia ya mwaka 2012 itajirudia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa maoni yangu tungesajilki winga caliber ya Sacho na striker wa kumsub tammy, kama pochi ikitosha wa tatu tuweke LB word class kama akina Ashley cole kule kulia Azpi na Reece wanaweza kuimuduMpaka sasa hivi sijaelewa mpango wa usajili Chelsea january tunasajili nafasi zipi beki, winga au foward?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaruhusiwa kwa sababu wanakuwa wachezaji halaliHivi wachezaji tutakaowasajili dirisha la January, wanaruhusiwa kucheza Uefa 16 bora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nikisikia jina la Barkley najisikia vibaya sanaBarkley katusababishia haya hapa tulipaswa kucheza na atletico,atalanta l,napoli hawa hawana uzoefu na michuano hii,ile penalty aliyong'ang'ania Barkley imetu cost tungeongoza kundi
Cha kushangaza hata Ivanovic, Terry na Essien hawakucheza kwenye hiyo fainali. Terry na Ivanovic hawakuwepo kabisa nafikiri walikuwa majeruhi, Essien alianzia bechiMkuu usitaje hicho kikosi natamani kulia machozi.
Mausajili ya hovyo yaliofanyika hapa mwishoni mwishoni yalituharibia kikosi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imefutwa hiyoKuna ile sheria kwamba kama mchezaji alishachezea UEFA hiyo timu anayotoka hawezi tena kuendelea kucheza uefa timu inayokwenda kwa msimu huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sheria ilifutwa mwaka jana na sheria mpya inayoruhusu wachezaji waliochezea klabu zao kwenye group stage kuruhusiwa kucheza na klabu mpya waliohamia kwenye mtoano. Na hiyo sheria imeanza msimu huuKuna ile sheria kwamba kama mchezaji alishachezea UEFA hiyo timu anayotoka hawezi tena kuendelea kucheza uefa timu inayokwenda kwa msimu huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Barkley katusababishia haya hapa tulipaswa kucheza na atletico,atalanta l,napoli hawa hawana uzoefu na michuano hii,ile penalty aliyong'ang'ania Barkley imetu cost tungeongoza kundi
Hivi wachezaji tutakaowasajili dirisha la January, wanaruhusiwa kucheza Uefa 16 bora?
Sent using Jamii Forums mobile app