Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Afadhali mpira umeisha
Jamaa wametushusha kutoka possession ya 56% hadi 51
Kepa ana psychological na mental problem
Wachezaji wengi hawakucheza kwenye form yao
Ningechambua Zaidi lakini nimeangali kuanzia dk ya 60 tu
Toa red card kwa kepa shati kwanza kabla ya kuchambua mchezaji m1 m
 
Hapana sisi tunakutana na lile lazima tumchape
Sasa tuombe dua ajax afungwe au draw ili mechi na Valencia wasisinzie
Yeye ajax akisuluhu na valencia basi sisi tunapita

Hata valencia akimfunga Ajax sisi tutasonga

Hata ajax akimpiga valencia sisi tutasonga

Kwahiyo hapo tushindwe sisi tu mbele ya lile
 
Habari mnayo
20191127_113846.jpeg
 
Ajax kashinda leo. Sasa kazi imebaki kwetu ni kuhakikisha tunamfumua Lille hayo matokeo mengine ya Ajax na Valencia watakaa wajadiliane wao wenyewe nani aende nani ashuke.
 
Ikitokea bahati mbaya tukaenda kule kwenye kombe la vibonde, Arsenal na Man U hawatakuwa na furaha kabisa
Umeanza kujihami hahahaaaaaaa Ni futuhi ndio ni futuhiiiiiii

Karibu mkuu
 
Afadhali mpira umeisha
Jamaa wametushusha kutoka possession ya 56% hadi 51
Kepa ana psychological na mental problem
Wachezaji wengi hawakucheza kwenye form yao
Ningechambua Zaidi lakini nimeangali kuanzia dk ya 60 tu
Chambua tu mkuu,

Hahaha Futuhi upcoming
 
Ajax kashinda leo. Sasa kazi imebaki kwetu ni kuhakikisha tunamfumua Lille hayo matokeo mengine ya Ajax na Valencia watakaa wajadiliane wao wenyewe nani aende nani ashuke.
Wewe upo nafasi ya Europa tu,

Utabiri wangu game ijayo lazma msuluhu na Lille na Ajax anagongwa na Valencia au wanasuluhu pia hahahaaaaaa


Futuhi
 
Tutasonga endapo tu tutamfunga lile
Biashara tumeshindwa kufanya asubuhi jioni tutatweza kweli? Lile wakitudindishia?.
  1. Tukimfunga Lile tutasonga
  2. Tukitoa draw kule wakatoa draw tumekwenda na maji
  3. Tukifungwa na Valencia wakafungwa tumekwenda na maji pia
 
Biashara tumeshindwa kufanya asubuhi jioni tutatweza kweli? Lile wakitudindishia?.
  1. Tukimfunga Lile tutasonga
  2. Tukitoa draw kule wakatoa draw tumekwenda na maji
  3. Tukifungwa na Valencia wakafungwa tumekwenda na maji pia

Hiyo #3 naomba ufafanuzi
 
Hiyo #3 naomba ufafanuzi
Tukifungwa na Valencia wakafungwa na Ajax, H2H yetu na Valencia wao wako juu yetu kwa hiyo tutabaki
Ajax atakuwa na Point 13 wanasonga mbele
Valencia atakuwa na point 8 H2H GD ya +1
Chelsea watakuwa na point 8 H2H GD ya -1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom