Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,937
- 27,199
3-5-2 kitu ambacho sidhani kama Lamps ataweza kukifanyaHivi hakuna mfumo wa kuwachezesha hawa jamaa kwa wakati mmoja?
Joginho
Kovacic
Kante
Pulisic
Mount
3-5-2 kitu ambacho sidhani kama Lamps ataweza kukifanyaHivi hakuna mfumo wa kuwachezesha hawa jamaa kwa wakati mmoja?
Joginho
Kovacic
Kante
Pulisic
Mount
Mkuu tuombe isistokee hata bahati mbaya. Tushinde leoIkitokea bahati mbaya tukaenda kule kwenye kombe la vibonde, Arsenal na Man U hawatakuwa na furaha kabisa
Naona Tomori yupo benchi leo...Predicted line up in 4-3-3
Mount - Tammy - Willian
Kovacic - Jourginho - Kante
Azpi - Tomori - Zouma - James
KEPA
Wewe unakwama wap?Chelsea mnakwama wapi aisee.??
Kepa KEPA Kepa KEPA Thank You!
Wewe unakwama wap?
Kappa atulize akili, anaogopa ogopa. Joginho atulie anapoteza mipira. Kovacic na kante safiii.
Mungu asaidie injury ya Tammy iwe ni minor injury.
Hii TAKATAKA irudishwe spain.
Ipi mkuu hii kepa au
Kaangalie mpira. HighlightsKafanya nn
,Kepa ni shati na pazia kabisaHii TAKATAKA irudishwe spain.