Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,796
- 4,297
Imani yangu ,Tumekwisha pita Lile ni kibonde hawezi kutuzuia , maombi yetu ajax vs Valencia watoe sare tu,cha muhimu ni kuomba kuongoza kundi kuepuka miamba katika 16, huku tunapaswa kukutana na Napoli ,atletico,zeneth/Lyon,inter,shaktah kwasasa hawa tunawaweza.Muda unavyokwenda tunazidi kuimarika na vijino pembe kama Dully Jr wanaandika wakijua matarajio yao hayakukamilika ,walitupigia kelele hatutashinda game hata moja uefa sasa kilichobaki ni aibu.