Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyo zouma siyo kwamba alipatwa na nini, No makosa yake mengi hufichiwa na tomori ambaye jana alikuwa nje
Tammy kwa sababu ya umri wake mimi bado namuamini, as we go ataimarika kwa kujiamini na umakini ktk ufungaji
Kepa simuelewi kabisa hasa anapotoa mpira kwa maadui golini, japo pia ana msaada, tatizo lake kubwa kwenye judgement
Christensen ni afadhali ya Tomori, sijui kwa nini Lampard alimpumzisha huyo Tomori, Zouma na Jorginho jana haikuwa siku yao nzuri
Emerson sijui kapatwa na nini, au mchumba wake kamkataa nini? Hakuwa hivi
Alafu Emerson bado ni wa muhimu sana upande wa kushoto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Emerson sio yule kabisa aliyemueka Alonso bechi. Atakuwa ana matatizo ya physiology.

Mr. Limbu kila mtu ana imani ya TAMMY lakini sio kumtegemea 100%, hatutamuuza ataendelea kucheza aendelee kujifunza na kuimarika. Lakini striker mzoefu lazima asijiliwe wa kutuvusha kwa kipindi hichi cha mpito cha kukuza vijana.

KEPPA hamna kitu ile pesa ya kumnunua bora Abromovich angenunua Jumba la kifahari.
Katika kila position wakiwepo wachezaji wawili kila mmoja kum Challenge mwenzake itapendeza sana. Yan ile position ya LB aje Chilwell, then RW awepo mtu kama Sancho akimpa moto Willian lazima wajitume sana, mfano katika nafasi ya LW Odoi alipolega Pulisic kachukua nafasi chap na najua huko Odoi anajifua zaidi. Sasa tunao mastraika wa3 lakini kati ya hao hakuna anayetishia nassi ya mwenzie ndio maana kuna kulegalega mno.
 
Huo msitari wa mwisho unachekesha kidogo
Wengi hatumsemi lampard na yeye anatakiwa arekebishe mbinu zake, kwa maana kwamba chelsea inapoongoza goal timu iweze kulinda hilo goal na tuongeze goal lingine. Chelsea tukiongozaga goal tunakuwa very weak kulilinda na kuongeza goal lingine

Nawapongeza LIVERPOOL hili wameliweza wanapoongoza goal wanalidefend na wanaongeza lingine.

LAMPARD afanyie marekebisho mbinu zake kwenye kufunga- kulinda goal- kuongeza goal
Kwamba ramaprd afanyie marekebisho kwenye ufungaji afu mfungaji mwenyewe ni batishuay?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usimtaje Batshuayi tutakosana

Afanye marekebisho kwenye mfumo wake. Kwamba timu tunapoongoza goal basi kama timu iweze kudefend goal na kutengeneza mazingira ya kuongeza lingine. Tofauti na sasa tukifunga goal halidumu. Eg man city, valancia nk
Sawa mkuu
 
Dah huyo Sancho jana aliuwasha moto... japo wamepigwa 3 na barca....
Katika kila position wakiwepo wachezaji wawili kila mmoja kum Challenge mwenzake itapendeza sana. Yan ile position ya LB aje Chilwell, then RW awepo mtu kama Sancho akimpa moto Willian lazima wajitume sana, mfano katika nafasi ya LW Odoi alipolega Pulisic kachukua nafasi chap na najua huko Odoi anajifua zaidi. Sasa tunao mastraika wa3 lakini kati ya hao hakuna anayetishia nassi ya mwenzie ndio maana kuna kulegalega mno.
 
Defence yetu itabalance siku rudiger akirudi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usimtaje Batshuayi tutakosana

Afanye marekebisho kwenye mfumo wake. Kwamba timu tunapoongoza goal basi kama timu iweze kudefend goal na kutengeneza mazingira ya kuongeza lingine. Tofauti na sasa tukifunga goal halidumu. Eg man city, valancia nk
 
Kutofautiana kwa mawazo ni jambo LA kawaida. Afu watu inabidi wajue mpira ni burudani. Utani lazima uwepo. MTU anaweza sema Chelsea inashuka daraja (mwingine anakuja na matusi). Pia kuna watu wanatukana kiutani .
yote kwa yote kila MTU na uelewa wake.
Burudani sio Ugomvi wakuu let's enjoy.
Nimeipenda hii
 
Imani yangu ,Tumekwisha pita Lile ni kibonde hawezi kutuzuia , maombi yetu ajax vs Valencia watoe sare tu,cha muhimu ni kuomba kuongoza kundi kuepuka miamba katika 16, huku tunapaswa kukutana na Napoli ,atletico,zeneth/Lyon,inter,shaktah kwasasa hawa tunawaweza.Muda unavyokwenda tunazidi kuimarika na vijino pembe kama Dully Jr wanaandika wakijua matarajio yao hayakukamilika ,walitupigia kelele hatutashinda game hata moja uefa sasa kilichobaki ni aibu.
Matarajio yangu yamekamilika 80% mkuu,hapa hizo 20% anazo Lille anakuchapa hapohapo daraja la biskuti....

Road to Futuhi
 
Huyu DullyJr jana kaacha kulala akaishia kirandaranda kwenye uzi wa Chelsea na Liverpool wakati ukimtazama hali yake anatia huruma na anahitaji maombi.
Mkuu ni dhahiri kwamba najijua sipo vizuri ila hiyo sio kufuri ya mimi kushindwa kuwatia njaa,
Napoli bado ni kidume kwako,na huyu Chelsea nae Valencia ndio kabali yake....

Cha kushangaza hawa wanawapa shida mimi na timu yangu mbovu wote nimewapiga hawakufua dafu in & out...na ndio maana navimba ...
 
aluuuu ila kwa sasa hawa madogo wanalikanyaga gozi la ng'ombe kweli kweli, wakiendelea na spirit ya namna hii adi mwisho wa msim huu kwa kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usimtaje Batshuayi tutakosana

Afanye marekebisho kwenye mfumo wake. Kwamba timu tunapoongoza goal basi kama timu iweze kudefend goal na kutengeneza mazingira ya kuongeza lingine. Tofauti na sasa tukifunga goal halidumu. Eg man city, valancia nk
Ndio maana saa nyingine MOU yuko sahihi
 
Huyu DullyJr jana kaacha kulala akaishia kirandaranda kwenye uzi wa Chelsea na Liverpool wakati ukimtazama hali yake anatia huruma na anahitaji maombi.
Dully anazipenda hizi team hakuna namna yeye hajawai kuona jema namkubali sana anavuotapatapa
 
Dully anazipenda hizi team hakuna namna yeye hajawai kuona jema namkubali sana anavuotapatapa
Mkuu huyu ndio mbabe wako lakini nilipiga nje ndani,wewe bado sana
Screenshot_20191128-222536.jpeg
Screenshot_20191128-222423.jpeg
 
Huyu DullyJr jana kaacha kulala akaishia kirandaranda kwenye uzi wa Chelsea na Liverpool wakati ukimtazama hali yake anatia huruma na anahitaji maombi.
Mkuu ,huyu si ndio mkali wako...
Lakini mimi nlipiga nje ndani, tena nimechukua
Pt 6
3goals
CS
Screenshot_20191128-222623.jpeg
Screenshot_20191128-222600.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom