Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
Sawa kiongoziWaliniweka korokoroni mkuu,usijali mvua jua nitakuwa hapa kuwatia njaa
Sawa kiongoziWaliniweka korokoroni mkuu,usijali mvua jua nitakuwa hapa kuwatia njaa
Maajabu yapi kiongozi tena au huaminiSasa haya ni maajabu
Maajabu yapi kiongozi tena au huamini
Chelsea wanacheza kama hawana plan wanapiga pass tu tafuteni ushindi
Piga hao mbwea wa etihad
Hawa wapinzani waache mdomo
Mkuu mimi bado nasema hiviSijui kwa nini walikuachia mapema hao polisi, si wangekuchelewesha angalau game ya leo ipite maana una damu ya kunguni wewe, pamoja na timu yako kulizwa lizwa bado unapumua je wangekuwa wanashinda kama Liverpool si mtaani tungepata karaha
Kiungo gani mkuu mdalasini au nyanya?Tushawafunga Tayari, sio kwa kiungo hikiView attachment 1270458
Oyaaaah humu haina haja ya kupiga hodi we unajipitia tu unaweka shombo lako watajua wenyeweHodi Humu