Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
 
Pep guardiola hasira zake zote za kufungwa na liverpool anakuja kumalizia kwenu....naziona sita zikirudi tena
 
Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
Umeongea kishabiki zaidi
 
Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
Nimeona comment zako nyingi nikapotezea lakini nilipoona hii nimeamua kutokukaa kimya. Sitaki kukupinga kwa sababu ndipo uwezo wako kufikiri ulipoishia ninachotaka kukwambia jaribu kutumia lugha nzuri katika uwasilishaji wa fikra zako kwa sababu hili jukwaa hatujazoea mambo hayo na ndio munafukuzwa mnaanza kulia lia. Nina imani shule hukusomea ujinga kwa maana hiyo umenielewa.

Kama unataka tuongelee mpira njoo siyo hizi porojo za kutafuta kick kwenye jukwaa lako.
 
Hahahah... ile beki ya man city iliyocheza na liver unaikumbuka? au umeamua kujitoa akili?
Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
 
Acha zako wewe.... Epl nzima hakuna takataka inamfikia Kante....
Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
 
we timu gani kwanza?
Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
 
Ninyi ni plastic fans, hamuwezi kumuda majigambo ya ushabiki, mkitupiwa neno moja tu hata sio matusi mnakuja juu, je ningeamua kuwatuka mngekuwaje. Sio lazima uwe mashabiki kama huyawezi, kuna refreshment nyingi unaweza kuopt na bado ikakusaida kimaisha kutuliza msongo wa mawazo
Mimi ni much know kwa sababu naongea na data, wewe tangu tuanze kubishana umetoa nondo zipi
Ila wewe jamaa huoni kila mtu anakuponda kutokana na tabia yako jirekebishe basi mbona busara haina kosi kamanda binafsi nilikupuuza ile juzi nikaona labda katika makuzi yako uliruka stage frani hivi ya ujuaji nahyo yote nikutokana na kufungiwa kwenye mageti au kukaa sana na Dada zako wakati wa ukuaji....mimi ni Chelsea haswaa ila sio kila jambo unakoment sometime ukiona umevulugwa unavunga tu sio hadi ukoment sasa on a unavyoaibika broo
 
Ila wewe jamaa huoni kila mtu anakuponda kutokana na tabia yako jirekebishe basi mbona busara haina kosi kamanda binafsi nilikupuuza ile juzi nikaona labda katika makuzi yako uliruka stage frani hivi ya ujuaji nahyo yote nikutokana na kufungiwa kwenye mageti au kukaa sana na Dada zako wakati wa ukuaji....mimi ni Chelsea haswaa ila sio kila jambo unakoment sometime ukiona umevulugwa unavunga tu sio hadi ukoment sasa on a unavyoaibika broo
Ni vema mkijitokeza watu kama nyinyi ambao ni fans wenzake wa chelsea mkamwambia ukweli kama hivi,
 
Nimeona comment zako nyingi nikapotezea lakini nilipoona hii nimeamua kutokukaa kimya. Sitaki kukupinga kwa sababu ndipo uwezo wako kufikiri ulipoishia ninachotaka kukwambia jaribu kutumia lugha nzuri katika uwasilishaji wa fikra zako kwa sababu hili jukwaa hatujazoea mambo hayo na ndio munafukuzwa mnaanza kulia lia. Nina imani shule hukusomea ujinga kwa maana hiyo umenielewa.

Kama unataka tuongelee mpira njoo siyo hizi porojo za kutafuta kick kwenye jukwaa lako.
Kaka hapo kuna lugha mbaya ipi
Nimeona comment zako nyingi nikapotezea lakini nilipoona hii nimeamua kutokukaa kimya. Sitaki kukupinga kwa sababu ndipo uwezo wako kufikiri ulipoishia ninachotaka kukwambia jaribu kutumia lugha nzuri katika uwasilishaji wa fikra zako kwa sababu hili jukwaa hatujazoea mambo hayo na ndio munafukuzwa mnaanza kulia lia. Nina imani shule hukusomea ujinga kwa maana hiyo umenielewa.

Kama unataka tuongelee mpira njoo siyo hizi porojo za kutafuta kick kwenye jukwaa lako.
Onesha lugha mbaya niliyotumia kaka ,pia mjifunze kuacha watu wawe huru kutumia fikra zao..hili ni jukwaa huru,kingine mkubali kupokea changamoto sio kila anayekuja hapa kumwambia anafuta kick
 
Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
Stop drugs to avoid illusions ...General KANTE ni Ngalangala Basi hakuna mchezaji anayestahili kucheza middifield katika dunia hii"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom