Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuwa mkweli.... kwani wewe hujafurahia hiki kichapo??????? Utadhani tulipigiana Penalty?????

Hujanielewa...nimeshangaa umeniita hilo jina kwa red..thn kuhusu nyie kuwatungua ao jamaa n kwel its gud, as far as presha frm chn imepungua...on the other way round kimeongeza kelele ktk kwa frnds wangu ambao 95% n Gunles fans.
 
hii michezaji mizee na torres ndo matapishi matupu....anaruka ruka tu aende zake bana...kwa mpirq ule chelsea hamuwezikuwa washindani kamwe

Baeleze Peas of ant yeye hapana elewa ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



I can't blame you, English is your third language.

Wacha ngebe wewe, swallow your pride and shut up! Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Bolton-v-Chelsea-Andre-VillasBoas-bench_2659829.jpg



Lost in translation ... .... .... ...
 
as long as you've judged me as an Arse hater I don't expect you to not be biased toward my comments, no surprise there!....and I bet you're a Chelsea LOVER, aren't you?..my arse! You're a fvckn piece of hypocrite, as usual.

tofauti yangu mimi na wewe..mimi am a football fun! ndio maana hata game ya carling cup ya chelsea niliangalia... ligue za seria A ndio kwangu .. hapo kwenye red! hahahaha haya bana punguza hasira burudika na hii OffSide Trick Ft AT - Samaki - YouTube
 
Nilisahau kutoa pole hapa,JT na Ferdinand hawana tofauti
 
tofauti yangu mimi na wewe ..mimi am a football fun! ndio maana hata game ya carling cup ya chelsea niliangalia... ligue za seria A ndio kwangu .. hapo kwenye red! hahahaha haya bana punguza hasira burudika na hii OffSide Trick Ft AT - Samaki - YouTube


Hujui chochote kuhusu mimi na hivyo huwezi kulinganisha mimi na wewe!....hii nayo ni great thinking?! hahahaha, JF imevamiwa!
 
Hujui chochote kuhusu mimi na hivyo huwezi kulinganisha mimi na wewe!....hii nayo ni great thinking?! hahahaha, JF imevamiwa!

acha ligue zisizokuwa na msingi jf haina mwenyeji wala mgeni .. let's just enjoy the game ...
 
acha ligue zisizokuwa na msingi jf haina mwenyeji wala mgeni .. let's just enjoy the game ...



got no time for such sh1t....cha msingi usijifanye kunijua wakati hatujuani hapa JF....ndio maana nikasema JF imevamiwa na watu wanaojifanya kujua watu wengine, huo ni utoto hata kama huko hapa miaka mingi....by the way, zile kelele ulizokuwa unapiga kule jukwaa la Arsenal kwamba nisipost kule, wewe hapa unafanya nini? ndio maana nakuita MNAFIKI.
 
haya tunaingia uwanjani, ugenini dhidi ya Genk. kikosi cha leo
Cech, Bosingwa, Luiz, Ivanovic, Cole, Ramires, Romeu, Meireles, Malouda, Torres, Anelka.
Subs: Turnbull, Lampard, Mata, McEachran, Kalou, Sturridge, Terry.
 
Meireles anagonga mwamba....sekunde chache baadae penalty to Chelsea lakini kipa anacheza penalty ya Luiz, 1-0 bado.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom