Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Mkuu vipi ukiangalia performance ya vijana compared to the last game ya EPL?hope kuna changes
Not much changes, japo tunapasi kwa kasi zaidi isipokuwa Malouda!
Mkuu vipi ukiangalia performance ya vijana compared to the last game ya EPL?hope kuna changes
Dah what went wrong again?Jamaa wamerudisha, 1-1 dk.62
Mkuu unatoa updates za timu ngapi?si ulikuja kule kwa Arse8 unapostWatoto bado wanadai chenji yao, hali si njema sana kwa wa buluu. lampard na sturidge wanaingia, anelka na ramirez nje!
Mkuu unatoa updates za timu ngapi?si ulikuja kule kwa Arse8 unapost
Dah what went wrong again?