Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

peasant bro... just grab a drink and wait for the next game... its like that
 
Beki yetu leo imecheza kama ya Arses, anyway, long way to go.
 
What's the MATA?!!!!!!!! HAHAHAHA 3-3

Refa alijaribu kuwabeba lakini hambebeki khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chijui meerkat leo atachema nini khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee will be back .... .... . .
 
Poleni Chelsea, nawaza hapa huko nyumbani kwangu sijui kama kutapikwa kitu usiku wa leo, shemeji yenu ni mnazi wa Chelsea! duh!
 
Beki yetu leo imecheza kama ya Arses, anyway, long way to go.
Saa nyengine na tuangalie na upande wa pili, beki ndio wamecheza ovyo lakini credit to Arsenal forwards, RVP, Gervinho na Walcoltt wamecheza vizuri leo na ndio sababu tumefanikiwa kufunga mabao 5. Poleni sana wapenzi wa Chelsea.
 
Saa nyengine na tuangalie na upande wa pili, beki ndio wamecheza ovyo lakini credit to Arsenal forwards, RVP, Gervinho na Walcoltt wamecheza vizuri leo na ndio sababu tumefanikiwa kufunga mabao 5. Poleni sana wapenzi wa Chelsea.

Mpira ulimkataa kabisa leo Song pass zake nyingi hovyo natumaini alipewa special task na Prof. The boys walikwenda kucheza mpira sio ku-pack basi kama timu flani hivi.
 
v.persie turns Stanford bridge RED.....


next time wakuu ila tume enjoy game mpira umepigwa Leo na pande zote...
 
Saa nyengine na tuangalie na upande wa pili, beki ndio wamecheza ovyo lakini credit to Arsenal forwards, RVP, Gervinho na Walcoltt wamecheza vizuri leo na ndio sababu tumefanikiwa kufunga mabao 5. Poleni sana wapenzi wa Chelsea.

mwana usimsahau santos... game ilimkubali Leo kamficha Mata .. angecheza gibs Mata angefanya uchochoro...
 
arsenal2_1399311a.jpg



Hongereni Chelsick naona machabiki wengi wako ICU
khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
hata Mungiki Brother baada ya kahamia Mancs
 
mwana usimsahau santos... game ilimkubali Leo kamficha Mata .. angecheza gibs Mata angefanya uchochoro...



Hahaha! Kweli watu wengine mpira hatujui, ukiachilia mbali goli sidhani kama amecheza vizuri huyo santos. Sturridge alikuwa anamgeuza sana na kapata nafasi nyingi lakini hakufunga. Goli la kwanza na la tatu la kwa Chelsea yote yametokea kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom