Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

TUNAHESABU
Screenshot_20191106-001236.jpeg
 
Ushabiki wa akili hizi ndiyo naukataaga kabisa na sijui kwanini kuna mawatu aina hii duniani.

Leo asubuhi nilimwambia Jamaa yangu mmoja kuwa leo Chelsea tuna mtihani mgumu sana kuifunga Ajax 7bu history yao ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2018/19 si mbaya kushinda ugenini na hata Tottenham alifanya kazi ya ziada kuitoa ugenini baada ya kuanza kufungwa uwanja wa wimble, Jamaa "oooh... tuna kikosi kizuri sana na bado majeruhi kikosi cha kwanza hawajarudi, wakirudi tutakuwa ni timu tishio sana Ulaya"

Bila shaka atakuwa kashanielewa mpaka sasa hivi.

Mi ni Mshabiki wa Chelsea lakini huwa sina mahaba hadi kuwa kipofu kushindwa kudadavua ukweli.
Ushatiwa 4 hadi sasa
 
Ndiyomaana sikwenda hata kuangalia mpira niko zangu tu home maana ni kama tayari nilishachezwa na machale...

Chelsea 1 - 4 Ajax
 
Kipa na mabeki wanazingua kishwnzi
Chelsea inahitaji zaidi ya miaka miwili na wakiwa wana mwendelezo mzuri sawa na walivyo sasa hivi epl, mbali na hapo Lampard bado ana upepo tu wa muda sawa na alivyoanza Ole Sendeka pale Mwantesa Utd 2018/19 kwa kushinda mechi 11 mfululizo afu akawa vibaya kimatokeo hadi hivi sasa...
 
Kuhusiana na Strikers, nilimwambia pia Jamaa kuwa bado hatujawa na strikers wa uhakika kama Diego Costa au Didie Drogba pa1 na kupata magoli mengi sababu pia hatuna master class passes za final assists kama Sesc Fabregas.

Jamaa limenipinga weeee....sasa nilichokinena kimeonekana leo hii ...
 
Kuhusiana na Strikers, nilimwambia pia Jamaa kuwa bado hatujawa na strikers wa uhakika kama Diego Costa au Didie Drogba pa1 na kupata magoli mengi sababu pia hatuna master class passes za final assists kama Sesc Fabregas.

Jamaa limenipinga weeee....sasa nilichokinena kimeonekana leo hii ...
Mkuu punguza jazba, inaonekana huyo jamaa alikukera sana kuonesha mahaba mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom