Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Halafu King Ngwaba alikuwa upande wa akina Manure na Arsenali kutusodoa ila sasa anaona Chelsea inafanya vizuri anajifanya hashindi kwenye majukwaa ya majirani ili asiwe mmbeya wakati ligi lipoanza alihamia huku kwetu. Sasa kajipiga ban kwa muda ili tusimuone mbeya wakati tulishamrekodi mwanzoni na posts zake nyingi ziko huko akiungana nao mkono akina Aroon mara Chelsea mechi kumi mara januari Chelsea ikiwa top 6 itachukua ubingwa. Sasa Ngwaba anarudi na gia nyingine mdogomdogo akiwakandia akina manure na Arsenal
Kwahiyo unataka nipingane na uhalisia au?
Comments zangu za mwanzo wa Msimu zinaendana na mwenendo wa Timu yenu wa wakati huo.
That's why nilisema Mtamaliza nafasi ya 6
Comments zangu za sasa zinaendana na mwenendo wa Timu yenu kwa wakati huu uliopo.
That's why ninasema mutamaliza ndani ya Top 3
Na Baadae naweza nikaja na comments zenye mtazamo mwengine ambazo zitaendana na mwenendo wa Timu yenu wa wakati huo.
Lakini ninachowashangaa kwanini Munanilazimisha nibaki na misimamo badala ya reality?