ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,063
Nashauri tu punguzeni Mbwembwe musije mukawa kama Manure.
Manure waliposhinda Vijimechi Viwili ikisha wakaja Wakawafunga na Nyinyi, Kuna watu tulishaanza kupotea kwa Kelele zao kila Nyuzi wapo! Sasahivi nenda kwenye Uzi wao Washaanza kumtukana Wan Bisaka Kuwa hana Msaada wowote wakati walikuwa wakimsifia kila sekunde ya wakati.
Kwahiyo na Nyinyi bora kwanza Munyamaze at least misimu 2 Lampard aprove.
Munamkumbuka Brendan Rodgers alipokuwa Liverpool mwanzo (2013/14)?
Alifukuzana na City kidole kwa Kidole mpaka mwechi ya mwisho ya Msimu tukadhani tumepata bonge la Kocha!!!
Kudadadeki msimu uliofuata alitaka kutushusha daraja utadhani siye yule wa Msimu uliyepita.
Kwahiyo mkuu tunyamaze tu hata kama tunashinda siyo.
Wonderful