Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Jorginho & Kovacic vs Watford:
Jorginho:
[emoji736]138 touches
[emoji736]117 accurate passes
[emoji736]90% passing accuracy
[emoji736]11 long balls attempts (7 accurate)
Kovacic:
[emoji736]154 touches
[emoji736]134 accurate passes
[emoji736]95% passing accuracy
[emoji736]12 long ball attempts (11 accurate)
World Class [emoji634][emoji1082] #CFC
Hapa Kante na RLC wapo nje. Hiiiiiiiii!!!!!!!View attachment 1252491
Nashauri tu punguzeni Mbwembwe musije mukawa kama Manure.
Manure waliposhinda Vijimechi Viwili ikisha wakaja Wakawafunga na Nyinyi, Kuna watu tulishaanza kupotea kwa Kelele zao kila Nyuzi wapo! Sasahivi nenda kwenye Uzi wao Washaanza kumtukana Wan Bisaka Kuwa hana Msaada wowote wakati walikuwa wakimsifia kila sekunde ya wakati.
Kwahiyo na Nyinyi bora kwanza Munyamaze at least misimu 2 Lampard aprove.
Munamkumbuka Brendan Rodgers alipokuwa Liverpool mwanzo (2013/14)?
Alifukuzana na City kidole kwa Kidole mpaka mwechi ya mwisho ya Msimu tukadhani tumepata bonge la Kocha!!!
Kudadadeki msimu uliofuata alitaka kutushusha daraja utadhani siye yule wa Msimu uliyepita.