Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Najua unajaribu kuongea kimpira na uhalisia wa mpira ulivyo lakini kiuhalisia leo Man U anakufa kwake pale pale. Hata afanyaje kina Rashford hakuna kitu watafanya kwa VVD na Matip.Leo sitaki Salamu ya Mtu coz najua Manure hata awe mbovu Vipi lakini hatokubali afungwe na Liverpool kiboyaboya.
Usijeshangaa Leo Rashford akawa Messi, Lingard akawa Neymar, Scot akawa Busquet.


